Waturuki Kumnasa wa Uingereza?

Klabu ya Uturuki, Fenerbahce imewasilisha maombi ya kumfanyia usajili mchezaji mshambuliaji wa klabu ya EPL Ligi Kuu ya Uingereza, Tottenham na Uholanzi, Vincent Janssen.

Janssen ana umri wa miaka 24 na alicheza msimu uliopita kwa mkopo kwenye klabu hiyo.

2 Komentara

    Asante meridianbettz kwa taarifa

    Jibu

    Habari nzuri.

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.