Barcelona Yavutiwa na Mohamed Kudus wa Ghana

KLABU ya Barcelona inayocheza ligi kuu ya nchini Hispania imeripotiwa kuvutiwa na mchezaji wa taifa la Ghana Mohamed Kudus (22), ambaye amekuwa na kiwango kizuri sana tangua kuanza kwa michuano hii ya kombe la dunia nchini Qatar.

 

mohamed kudus

Taarifa kutoka kwa mmoja wa viongozi wa juu wa Barcelona Jordi Cruyff ambaye ni Mkurugenzi wa Michezo, inaeleza kuwa wamekuwa wakimfuatilia kwa muda mrefu sana Mohamed Kudus huku akiweka wazi kuwa anaivutia sana klabu hiyo.

“Tumekuwa tukimfuatilia Mohamed Kudus kwa zaidi ya mwaka, hatuweza kusema kwamba Barca wanamtaka Kudus lakini anavutia. Anafunga mabao na Holland wanazungumzia zaidi kuhusu nafasi yake, hivyo namjua mno yeye” Alisema Cruyff.


Mohamed Kudus anaichezea klabu ya Ajax kwenye nafasi ya kiungo wa kati, na amekuwa na mchango mkubwa pia hata kwenye timu yake ya taifa ya Ghana akiwa ameifungia mabao mawili kwenye mchezo dhidi ya Korea ambao walishinda kwa jumala ya 3-2.

 

mohamed kudus

Beti mechi zijazo za kombe la dunia na nyingine kupitia Meridianbet, beti na kitochi bila bando, kwenye machaguo spesho ya kombe la dunia yenye ODDS kubwa na bomba, na kama sio mpenzi wa mpira kuna michezo ya kasino mtandaoni napo unaweza kushinda jakipoti kubwa. Beti hapa.


Je wewe hucheza Kasino Mtandaoni na umekuwa ukijiuliza ni mchezo gani rahisi na mzuri kwa ushindi? Basi Usihangaike Aviator ni rahisi zaidi kucheza na kushinda, kingine cha zaidi ni kwamba Aviator Bonanza imerudi tena Cheza zaidi ujiweke kwenye nafasi ya kushinda Samsung A23.

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.