Gattuso Na Fiorentina, Kimeumana.

Ni siku 22 tu zimepita tangu Gennaro Gattuso kukabidhiwa mikoba ya kukinoa kikosi cha Fiorentina. Kimeshaumana huko Italia.

Imeripotiwa kuwa Gattuso na uongozi wa Fiorentina umepishana kwenye malengo ya usajili majira haya ya joto. Kabla ya kocha huyo kuchukua nafasi hiyo, aliitaka klabu hiyo kumuhakikishia usajili wa Sergio Oliveira (FC Porto) na Goncalo Guedes (Valencia). Mambo yamekuwa tofauti.

Uhalisia ni kuwa, hakuna njia nyingine ya kusuluhisha mgogoro huu na uongozi wa Fiorentina unaangalia namna sahihi ya kusitisha mkataba wa kocha huyo kisheria.

Tayari baadhi ya makocha wameanza kufikiriwa kama mbadala wa Gattuso, kati yao ni Rudi Garcia na Claudio Ranieri


SHINDA TSH 150,000,000/=

Mtaani kumechangamka, washkaji wanakamata mkwanja kwa mkakati tu na Footbal Fever! Ni rahisi, changamkia fursa hii kushinda mgao wako wa TSH 150,000,000/= 💰🤑

Atletico, Atletico Waunga Tela kwa Calhanoglu, MeridianbetINGIA MCHEZONI

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.