Giroud na Mbappe waipatia Ufaransa Ushindi

Olivier Giroud na Kylian Mbappe walikuwa kwenye malengo muhimu wakati timu yao ya Ufaransa ikinyakua ushindi wao wa kwanza wa Ligi ya Mataifa ya kampeni kwenye ushindi wa 2-0 dhidi ya Austria siku ya Alhamisi.

 

Giroud na Mbappe waikokota Ufaransa Kutoshuka Daraja

Les Bleus wanakabiliwa na changamoto kubwa ya majeraha kuelekea mapumziko ya Kimataifa, huku Paul Pogba na N’golo Kante wakiwa ni miongoni mwa wachezaji waliokosekana na mara nyingi wamekosa uchezaji kwenye Stade De France.

Lakini Mbappe aliwazidi kasi baada ya dakika 56, na kuwapita walinzi wengi na kumalizia pasi ya Patrick Pentz kabla ya Giroud kufunga kwa kichwa na kusaidia vijana wa Didier Deschamps kupata ushindi.

Mabingwa hao watetezi wa Kombe la Dunia 2018, sasa watakuwa wameshikilia hatma yao mikononi ya kushuka daraja katika Ligi ya Mataifa, lakini hawawezi kusonga mbele kupitia kundi A1 baada ya Croatia kuishusha Denmark kwa kuitandika mabao 2-1.

 

Giroud na Mbappe waikokota Ufaransa Kutoshuka Daraja

Kutokana na kufunga bao katika mchezo huo Olivier Giroud sasa amebakiza mabao mawili tuu kufikia rekodi ya Thierry Henry ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa Ufaransa ambapo Henry ana mabao 51 katika mechi 123, wakati Giroud mabao 49 mechi 113.

Acha ujumbe