Kocha wa klabu ya Man City Pep Guardiola ameungana na kocha wa Chelsea ambaye alimfunga kwenye michuano ya ligi ya mabingwa Ulaya Thomas Tuchel kwenye tuzo za FIFA zilizotajwa leo .
Guardiola ambaye alishinda ubingwa wake wa tatu wa ligi kuu ya Uingereza akiwa na klabu ya Man City msimo uliopita ingawa alishindwa kufurukuta kwenye ligi ya mabingwa mbele ya Tuchel

Listi ya makocha watatu haiwezi kukamilika pasipo kuwepo kwa kocha watimu ya taifa ya Italia Roberto Mancini, ambaye aliweza kuisaidia timu ya taifa ya Italia kuweza kuchukua ubingwa Ulaya.
Kula zitapigwa na mkocha wote wa timu za taifa, kapteini, baadhi ya waandishi wa habari za michezo na mashabiki kuweza kuchagua kwenye mtandao wa FIFA, na majibu yatatangazwa January 17 2022 makao makuu ya FIFA jijini Zurich kwa njia ya mtandao.
Una Kila sababu ya kufurahia wiki yako na kutengeneza mwaka huu uwe wa faida zaidi katika kasino zetu za mtandaoni za meridianbettz. Mchezo wa Zeus Ancient Fortunes unakuongoza kutekeleza hilo.


