Vilabu vya Uingereza vinavyoshiriki michuano ya FA Cup itayochezwa wikiendi hii itaendelea kama kawaida licha ya mlipuko wa Uviko-19 unaonendelea
Klabu 20 zinzazoshiri ligi kuu ya Uingereza FA zimeandikia barua kuwa sheria zinazotumika kwenye ligi kuu ya Uingereza hazitatumika katika michezo ya FA Cup, na hivyo basi itabidi wacheza hata kama watatumia wachezaji watoto kutoka kwenye timu za vijana.

FA wamepanga kutokuruhusu kuhairisha mchezo wowote wa mzunguko wa tatu, na kuchelewasha ratiba ya ligi ambayo imekuwa ngumu, vilabu vinavyoshiriki ligi kuu ya Uingereza wamekuwa wakitumia sheria zinazotumika kwenye EPL ili kuweza kuomba kuahirishwa kwa michezo yao.
Kwenye waraka iliotolewa na FA ulisomeka, “tunaamini hii njia itatusaidia kusaidia upatikanaji wa wachezaji kutokana na msongamano wa ratiba mwezi January na kulinda uwiano wa ukamilifu wa ligi na kuhakikisha ratiba inatimizwa.”
Una Kila sababu ya kufurahia wiki yako na kutengeneza mwaka huu uwe wa faida zaidi katika kasino zetu za mtandaoni za meridianbettz. Mchezo wa Zeus Ancient Fortunes unakuongoza kutekeleza hilo.


