Jordie Barrett Arudi Kuivaa Chiefs.

Jordie Barrett anarejea katika ligi ya Super Rugby nchini Afrika Kusini kuchuana na Hurricanes katika mchezo utakao chezwa siku ya jumapili.

Jordie Barrett mwenye miaka 22, alikua akitibiwa bega lake aliloumia katika mechi za mizunguko miwili ya mashindano iliyopita, mbadala wake akicheza beki wa kushoto Chase Tiatia.

Hurricanes wanakuja kuaga na kocha wao msaidizi Chris Gibbes anasema kutakua na mengi ndani ya uwanja.

“Itakua mechi ngumu kwani kila timu inahitaji ushindi. Kila timu inacheza mchezo mzuri ila inashindwa kupata matokeo.

“Tutaenda pale tukiwa na umakini mkubwa kuweza kufikia utulivu na nguvu watakayo tumia Chief katika uwanja wao wa nyumbani.

Peter Umaga-Jensen pia amepata nafasi ya kuanza mbele ya Vince Aso na Kobus Van Wyk amepata nafasi mbele ya Wes Goosen.

Mbele, Scott Scrafton ni moja ya wachezaji tegemeo waliofanya vizuri katika mchezo wao dhidi ya Crusaders, wiki mbili zilizopita akichukua nafasi ya Vaea Fifits wakati wa mapumziko.

Mara ya mwishio Hurricane kucheza na Chief ni kabla ya janga la ugonjwa wa Corona (COVID-19) uliosababisha kuhairishwa kwa msimu wa ligi ya Super Rugby nchini Africa kusini.

Katika mchezo huo Hurricanes walishinda 29 – 24, asante kwa penati ya mwisho iliyofungwa na Jordie  Barrett.

Siku: Jumapili, July 5
Uwanja: FMG  Waikato, Hamilton
Muda: 15.35 (03.35 GMT)
Referee: Ben O’Keeffe
Referee Msaidizi: James Doleman, Angus Mabey
Mechi Kamishina: Glenn Newman

26 Komentara

    Itákua mechi ngumu sana.Barrett jipange

    Jibu

    Kabla ya hajapata jereha alikua anajituma sana sa tusubiri ujio wake ujao dhidi ya mapunziko

    Jibu

    Nivizuri ajipange kipasavyo

    Jibu

    Akaze Buti sana

    Jibu

    Habari nzuri Sana kwetu mashabiki ila pole San na hujitahidi kufanya mazoezi maan timu sasa hv zimekuwa na ushindani mkubwa

    Jibu

    Ninamsubiri kwa hamu kumuona Jordie Barrett kama ataweza kucheza kama zamani au zaidi kwa sababu ya majeraha yake

    Jibu

    Akijipanga vizuri hakuna kinachoshindikana

    Jibu

    Asanteni kwa taarifa

    Jibu

    Rugby mchezo wa kuvutia sana kuangalia#meridianbettz

    Jibu

    Sisi wadau Rugby tulimiss burudani#meridianbettz

    Jibu

    Itakua mechi ngumu kwani kila timu inahitaji ushindi. Kila timu inacheza mchezo mzuri ila inashindwa kupata matokeo.

    Jibu

    Asante kwa makala

    Jibu

    Welcome back Barrett

    Jibu

    Ni vizuri akijipanga

    Jibu

    Asanteni kwa taarifa

    Jibu

    Asanteee kwa taarifa

    Jibu

    Ni mchezo mzur sema unatumia nguvu sana

    Jibu

    Mchezo mzuri.

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Pongezi kwake kwa kurejea

    Jibu

    Ngoja tuone nan ataibuka bingwa

    Jibu

    Ni habari nzuri kwa timu take na mashabiki waoo

    Jibu

    Safi kwake kwa kurejea

    Jibu

    Jambo jema

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Maoni:Asante kwa taarifa

    Jibu

Acha ujumbe