Thiago Akaribia Kutua Anfield

Kutoka Bungwa kwenda Bingwa. Thiago Alcantara anatarajia kwenda Liverpool kutoka Bayern Munich. Rpoti zinasema kuwa kuwa na makubaliano ya awali baina ya klabu na mchezaji na ni wanauchumi ndio wannafanyazi kazi katika pande mbili.

The Bavarians wanafahamu baada ya misimu saba, Thiago anatafuta sehemu nyingine ya kupata changamoto. Mazungumzo baina ya mchezaji na Liverpool tayari. Bayern wanataka 35m euros kwaajili yake.

Liverpool hawataki kulipa hiyo pesa kwa mkupuo mmoja. Kama hawatapunguza bei basi watatafuta namna ya kufanya malipo.

Jurgen Klopp hajawahi kuficha hisia zake kwa Thiago, ambaye waliwahi kukutana mara kadhaa wakiwa Ujerumani. Tangu ijulikane kuwa hata saini mkataba mpya na  Bayern, mkataba wake unamalizika 2021, Anfield ndio makazi mapya.

49 Komentara

    Safi Sana anaenda katika tiny kubwa sana na atajifunza vitu vingi tofauti

    Jibu

    Thiago nenda sehemu nyingine ukatafute changamoto.usikae sehemu moja

    Jibu

    Safi Sana anaenda katika timu kubwa sana na atajifunza vitu vingi tofauti

    Jibu

    Thiargo abadilishe na zingira uwenda akapata kitu kipya kwenye timu zingine

    Jibu

    Thiargo yupo poa wajitahidi wamchukue haongeze kikosi kisidi kuimarika zaid

    Jibu

    vizuri thiago nenda sehemu nyengine ukatafute changamoto

    Jibu

    Namshauri thiago hakatufute tu maali pengine so alivuma sana kipindi kile lakini sasa hivi hasikiki kabic haame tu haende sehemu yengine akakumbane na changamoto nyengine

    Jibu

    Safii Sana Thiago yupo vizuri ukitoka sehemu kwelekea sehemu nyingine nivizuri unakuwa unabadilisha upepo wakiakili namazingira pia

    Jibu

    Thiargo abadilishe na zingira uwenda akapata kitu kipya kwenye timu zingine

    Jibu

    Thiago atakuwa amefanya jambo zuri sana Maana ataenda kukutana na wachezaji wenzie wanaujua mpira vilivyo

    Jibu

    Liver ni timu kubwa na kusajiliwa kwa wachezaji wenye majina in jambo bora

    Jibu

    Sioni mbadala Thiago Alcantara Bayern endapo ataondoka pia Boteng anatakiwa kuondoka#meridianbettz

    Jibu

    gud news mambo ni moto na

    Jibu

    Dogo anajua Sana Kama Liverpool watamsajili watakuwa wamefanya usajili mzuri Sana..Ila njoja tusubili na kuona#meridianbettz

    Jibu

    Thiago kila la kheri huko uendako

    Jibu

    Liverpool hawataki kulipa hiyo pesa kwa mkupuo mmoja. Kama hawatapunguza bei basi watatafuta namna ya kufanya malipo.
    Jurgen Klopp hajawahi kuficha hisia zake kwa Thiago, ambaye waliwahi kukutana mara kadhaa wakiwa Ujerum #meridianbettz

    Jibu

    Kusajiliwa wachezaji wenye majina ni jambo bora#meridianbettz

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Atawasaidia Sana Liverpool maana huyu no mchezaji mzuri sanaa

    Jibu

    Thiago kwa liver patamfaa sana kwa kuwa liver ina mpira wa kushambulia na kasi sana

    Jibu

    Ni maamuzi mazuri Kwake #meridianbett

    Jibu

    Klopp ni kocha bora msimu huu kwangu jamaa yupo makini sana na anataka kufanya mapinduzi akiwa na liverpool na formula zake za kijerumani hivi ili naliona mimi au maana klopp usajili wake wanataka wajerumani kwanini?naamini Ujerumani ni ligi bora na inachangamoto ya soka kuliko ligi nyingine safii klopp naamini kuwa thiago atashuka hapo anfield na kuleta chachu ya vikombe msimu unaokuja

    Jibu

    Thiago ni bonge la kiungo Kama Liverpool watafanikiwa kumsaini watakua wamejihimarisha Sana eneo la kiungo na watakua moto Sana kwa msimu ujao

    Jibu

    Habar njema sana 👍

    Jibu

    Alcantara bado ni kiungo bora duniani kama akienda Liverpool atakua na msaada vile vile

    Jibu

    Wenye Viwango vyao wanauziak tu#Meridianbettz

    Jibu

    Alcantara atapata namba kweli Liverpool?

    Jibu

    Asantee kwa taarifa nzurii meridianbet

    Jibu

    Axante kwa habar hii

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Safi sanaa

    Jibu

    Thiago yuko vizuri sana.

    Jibu

    Hii ni habari njema

    Jibu

    Ni mchazaji mzur na timu anayoenda ni bora

    Jibu

    Mchezaji mzur sana nafikiri Liverpool wakimpata atawasaidia kwa sehem flan

    Jibu

    Ni mchezaji mzuri huko anakoelekea atakuwa bora zaidi

    Jibu

    Aende tuu azidi kupata changamoto

    Jibu

    Itakua kitu kizr sana kwa T.alcantara akiwa epl kukipiga kwa mabingwa wa uingereza ni mchezaj mzr na bora zaid

    Jibu

    Safi sana alcantara anaenda club kubwa tunatarajia mambo makubwa mazur kutoka kwake na kuweza kujivunia kuwa maarufu zaid

    Jibu

    Maoni:safi

    Jibu

    Jurgen Klopp hajawahi kuficha hisia zake kwa Thiago, ambaye waliwahi kukutana mara kadhaa wakiwa Ujerum #meridianbettz

    Jibu

    Ni mchezaji mzuri kwa upande wa Liverpool atawasaidia sana

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    Naona mambo yatakuwa moto alipoenda ni pazuri na yeye yuko vzr wataongeza ushindi

    Jibu

    Habar nzur km atatua Kwa majogoo

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Maoni:Asante kwa taarifa

    Jibu

    Goodnews

    Jibu

    Habari njema kwetu sisi mashabiki wa mpira

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.