Juventus wamempa ukaribisho nyota Alvaro Morata ambaye anatarajia kurejea Turin kwa mabingwa hawa wa Serie A.
Morata anatajwa kuwa anajiandaa kurejea Juventus kwa mkopo wa mwaka mmoja kutoka Atletico Madrid kwa dili lenye thamani ya Euro milioni 9 huku Juve wakiwa na chaguo la kumnunua kwa Euro milioni 45.
Kufika kwa Morata, Juventus wanaweza kupumua baada ya jitihada zao za sokoni za kuongeza Fowadi kikosini kwao.
Kupitia ukurasa wao wa Twitter, Juventus walichapisha kuwa “Morata amerejea mjini” wakiambatanisha na picha za fowadi huyo.

Morata tayari alishakuwepo Juventus, ambapo alicheza mechi 93 na kufunga magoli 27 kwa misimu kati ya 2014 na 2016.
Kisha alirejea Real Madrid kwa msimu mmoja kabla ya kuungana na Chelsea kisha Atletico Madrid. Msimu uliopita alifunga magoli 12 katika mechi 34 za LaLiga.
Alvaro Morata anarejea Juventus wakiwa wanahusishwa na Luis Suarez wa Barcelona na Edin Dzeko wa Roma, baada ya kuondoka Gonzalo Higuain kwenda Inter Miami.
Chapisho la mwisho la Juventus kwenye ukurasa wao wa Twitter ni kumtakia heri Morata katika vipimo vyake.
Juve wanatarajia kuendelea na utawala wa Serie A, wakilitafuta taji lao la 9 mfululizo baada ya kuanza vyema mechi ya ufunguzi kwa kuwachapa Sampodoria 3-0.
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.
.


Caroline
Alvaro karibu Juventus.usituangusheee
Zeiyana
Yupo sehemu sahii morata juve wamepata mchezaji hanaye jituma
Angelina
Habari njema
magdalena
nina imani ukikutana na ronaldo utajifunza mbinu tofauti nzuri sana karibu juve kijana
Lydia Emmanuel Magoti
Alvaro kabibu kwenye chama ukipige vizuri
Dorophina
Kila lakheri alvaro
Sadick
Alvaro Morata anaelekea ukingoni mwa soka lake mara Chelsea, mara Atletico na sasa amerejea Juventusna endapo hatafanya vzr atapotea jumlajumla#meridianbettz
Antony Luseno
Sio sababu ya morata kuondoka ateltico bora angebaki kule
Neema
Kikubwa asituangushe huko aendako
Amani
Apige kazi
Salma ngende
Vizuri
Gabriel
Alvaro Morata anarejea Juventus wakiwa wanahusishwa na Luis Suarez wa Barcelona na Edin Dzeko wa Roma, baada ya kuondoka Gonzalo Higuain kwenda Inter Miami imekaa poa sana 👍
Venerose
Alvaro karibu sana Juventus utuoneshe kipaji chako
Faraja molell
Alvaro karibu Juventus
Elika
Vizur
Janeflora malisa
Good
Ernest
Heshima ya Álvaro Borja Morata Martín imeshuka sana sio yule Morata ambaye tunamfahamu alafu cha Ajabu bado umri haujamtupa mkono kivile
Tatu
Morata anaenda kufanya maajahu juve
jullie
vizuri sana
Hopemwaikuka
Pambana Alvaro tuko nyuma yako
Hidaya
Tunasubiria tuone ataenda kufanya maajabu yapi
Nasra
Nice
Ester jackson
Morata amepotea sana sijui kiwango chake kimeshuka mana tangu atoke Chelsea simsikii tena kuwa mahiri na mpira
Issa
Morata anajua anachofanya kwenye pitch
lombo
saf
aisha
Morata anajitambua na pia anafaham anachokifanya
Amiri Kayera
Morata inabid aongez kiwango
Saupha mohamed
Good
Sabrina
Alvaro karobu jijini
felister
Mimi nina imani utafanya vizuri
Mwanahamisi
Apige kazi
Sauda
Kila la kheri kwake
Frank P
Pongezi kwa wakala wake maana anajua kumsimamia aisee
Mwajumah
Vizuri sana
Fatina mfigi
Piga kazi kijan uko uwendako
David Pere
nina imani ukikutana na ronaldo utajifunza mbinu tofauti nzuri sana karibu juve kijana