Kaseja Akanusha Kutumia Ndumba

Golikipa wa Kinondoni Municipal Council FC, Juma Kaseja amekanusha uvumi kuwa anatumia ndumba lakini pia anapanga matokeo.

Kaseja ni moja wa walinda mlango aliyodumu Tanzania kwa muda mrefu na kuchezea vilabu kama Simba, Moro United, Yanga SC, Mbeya City, Kagera Sugar na sasa KMC.

Mlinda mlango huyo wa timu taifa amehusishwa kwenye kupanga matokeo kitu ambacho imekuwa ngumu kuaminika na vilabu vingini.

“Watu wanauliza uwezo wangu kucheza mpira kwa muda mrefu. Watu wengine wasema mimi mchawi, wengine wanasema nauza mechi  lakini ukweli ni kwamba nacheza mpaka sasa.

 

46 Komentara

    Mwizi akikamatwa na ushahidi tyu akubali yeye atakubali vp

    Jibu

    Duuh hii sio poa kama kweli anatumia Ndumba

    Jibu

    Eeeeh! Bwana huyo mshikaji noma yaan Kama kweli antumia ndumnba hayuko sahihi!

    Jibu

    Hawezi kuongea ukweli huyo

    Jibu

    Dua la kuku hilo halimpati mwewe…waache waongee mwenzao anafanya kazi

    Jibu

    Wana ushahidi gani kama hawajamkamata nao. Watu waache maneno maneno

    Jibu

    Hayo maneno tu hata kwenye kanga yapo wafanye ya kwao wamuache na maisha yake

    Jibu

    Anacheza tu jamani ila waswahili ni noma#Meridianbettz

    Jibu

    Duuh hii sio poa

    Jibu

    Kwa mambo mengine sawa lakini kupanga matokeo haiwezekani.

    Jibu

    Duuuh

    Jibu

    Duuh sio poa

    Jibu

    Anakipaji chake hutumii ndumba wala nini

    Jibu

    Duuh hii siyo poa

    Jibu

    Jamani mpira kipaji tuu hila ss wabongo ukiwa mchezaji mzr ndio unambiwa unatumia uchaw achana nao kaseja cheza mpira akili kichwan mwako##meridianbettz

    Jibu

    Wanamzushia bhana yey apambane

    Jibu

    Wanadamu ndo walivyoukifanya vzr watasema ukifanya vibaya pia watasema cha msingi fanya kitu moyo wako unavyokuongoza

    Jibu

    Sio rahisi kwake kupanga matokeo wanamzushia tu

    Jibu

    juma,k juma ni mtu wa ndumba tu

    Jibu

    Usija sana kaseja zote hizo chuki na wivu tu wew endelea na mambo yako..!

    Jibu

    Kaseja kipa mzuri waache uzushi wao..

    Jibu

    Kaseja songa mbele binadam hatupendani endelea kukaba#meridianbet

    Jibu

    Tanzania one! Juma kasema
    Bado anajua Sana.

    Jibu

    hahaha mpira wa bongo ndumba inaongoza sana toka klabu za uswahilini,ndumba huyo ni muhimu #meridianbettz

    Jibu

    Wamejuaje km anatumia ndumba?

    Jibu

    Jamaa uo uvumi wa kutumia ndumba nimeusikia muda mrefu sana toka kipindi yupo Simba ila lisemwalo lipo

    Jibu

    Jamaa anajua sema wabongo wanapenda sana majungu

    Jibu

    Jamaa fundi Sana akuna kipa Kama yeye

    Jibu

    Kaseja Tanzania one kipa mzuri sana thnks meridian bet kwa update

    Jibu

    Ukiona uyo kaseja ni mswahili haswa anajua kutumia uswahili wake vizuri haswa

    Jibu

    Hawezi kusema ukweli

    Jibu

    Sidhani kama kuna mchezaji wa kuweza kukiri hili jambo

    Jibu

    Yah nikweli kaseja anacho kiongea yy anajiamini anajikubali Kama yeye nivyota wa Makipa sio ndumba kujua tuu kaseja jembe lakuotea mbali kipa mzuri

    Jibu

    Kwa upande wa ligi za kwetu ndumba n kitu cha kawaida sana hvyo kwa upande wa michezo mingi ndumba ilikuwa inatumika Kama kuleta ushindi

    Jibu

    Sikuzote mti wenye matunda,lazima upigwe mawe.

    Jibu

    Kaseja fundi

    Jibu

    Hii Sio poa kabisa

    Jibu

    Hicho ni kipaji ,acheni chuki

    Jibu

    Popote alipo mpeni soda araf ajilipie

    Jibu

    waache uzushi bana kama ndumba ingekuwa inalipa basi wote tungekuwa magolikipa tanzania mzima kipaji kwanza mambo mengne baadae

    Jibu

    🤣🤣🤣 lisemwalo lipo na Kama halipo lipo ….

    Jibu

    Kila mbuzi anakula urefu wa kamba yake ,hao ndio binadamu hawakosagi ya kuongea .

    Jibu

    Inawezekana

    Jibu

    Jamaa yupo vizuri lkn wabongo tunapenda majungu

    Jibu

    Jmn Muongo .Kaseja wanamsingizia

    Jibu

    Duuuh

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.