Kibu Denis Ajiunga na Kambi ya Simba

Makala iliyopita
Mshahara wa De Gea Upo Juu Sana kwa Fiorentina na GenoaMakala ijayo
Ten Hag: Rashford Hajapata Majeraha makubwa
Mshambuliaji huyo ameonekana katika uwanja wa Benjamin Mkapa mapema leo akifanya mazoezi na wenzake kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya APR ya nchini Rwanda, Hii inaonesha mchezaji huyo ameshamilizana na uongozi wa klabu ya Simba ambao ulikua unadaiwa kumpa adhabu mchezaji huyo kwani aliondoka kwenye timu hiyo na kutimkia nchini Norway pasipo idhidi ya klabu yake.