Ten Hag: Rashford Hajapata Majeraha makubwa
Makala iliyopita
Kibu Denis Ajiunga na Kambi ya Simba
Makala ijayo
Girona Yaendelea Kuvunjwa
Manchester United imekua ikiandamwa na majeraha tangu msimu uliomalizika ambapo mpaka sasa wameshapata majeraha ya wachezaji wanne ndani ya kikosi hicho, Lakini kocha wa klabu hiyo ameweka wazi kua mipango ya klabu hiyo haitabadilishwa na majeraha ambayo wamekua wakiyapata kwakua majeraha ni jambo lisiloepukika.