Girona Yaendelea Kuvunjwa
Makala iliyopita
Ten Hag: Rashford Hajapata Majeraha makubwa
Makala ijayo
Manchester United Kubeba Wawili Bayern
Klabu ya Borussia Dortmund imefanikiwa kumsajili beki wa kimataifa wa Brazil ambaye alikua anakipiga klabu ya Girona msimu uliomalizika na akiwa sehemu ya mafanikio ya klabu hiyo Yan Couto, Dortmund wamefanikiwa kulipa kiasi cha Euro milioni 25 kwa klabu ya Manchester City ambao ndio wamiliki halali wa mchezaji huyo.