Klabu ya soka ya Simba leo imecheza mchezo wake wa pili wa kati Kundi A Klabu Bingwa Afrika na kufanikiwa kupata ushindi wa 1-0 dhidi ya Al Ahly ya Misri.
Kocha wa Simba alionesha kuelewa vyema mbinu za mpinzani wake Pitso Mosimane baada ya kuonyesha soka safi huku Pira Biriani likitawala kwa dakika 90 za mchezo.
Bao pekee la Simba lilifungwa na Luís Miquissone dakika ya 29 ya mchezo na kuifanya Simba kuibuka na pointi tatu muhimu huku akijikita kileleni mwa Kundi A.
Sasa Simba wapo kileleni mwa Kundi A wakifuatiwa na AS Vita kisha Al Ahly na El Merrick wakishika mkia.
TENGENEZA FAIDA KATIKA SLOTI PENDWA HAPA MERIDIANBET
BusttheBank ni sloti inayokupa Mkwanja wa kutosha. Ndio, hii ni sloti inayokupa faida ya hadi mara kibao ya dau lako. Ni Meridianbettz pekee utakapoweza kupata burudani hii.
Khadija
Pigs keleleeee kwa simba yakeeee
Caroline
Mmebahatishaaa
Neema juma
Basii hongereni wanasimbaa
Rahma
Mnyama mkali simba kiboko yao
Hopemwaikuka
Nakubalii
Sarah
Simba baba lao
warda
Anatokaje kwa mfano