Liverpool Kuwania Saini ya Rodrigo De Paul

Imeripotiwa kwamba Klabu ya Liverpool inawania saini ya kiungo wa Klabu ya Udinesse, Rodrigo De Paul ili ajiunge ndani ya kikosi hicho cha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu England.

Mbali na Liverpool kuwania saini ya nyota huyo raia wa Argentina ambaye anacheza ndani ya  Serie A pia Klabu ya Inter Milan nayo inatajwa kuwania saini ya kiungo huyo.

Akiwa na miaka 26 anaonekana kuwa bora ndani ya uwanja jambo ambalo limewafanya Liverpool wavutiwe naye na wapo tayari kuweka mkwanja mezani ili kupata saini yake.

Dau ambalo Liverpool inatajwa wameweka ni Euro milioni 30 kupata saini ya nyota huyo ambaye kwa msimu huu wa 2020/21 amecheza jumla ya mechi 23 amefunga mabao matano na pasi tatu za mabao na kwa upande wa kadi ameonyeshwa kadi mbili za njano na moja nyekundu.

 


TENGENEZA FAIDA KATIKA SLOTI PENDWA HAPA MERIDIANBET

BusttheBank ni sloti inayokupa Mkwanja wa kutosha. Ndio, hii ni sloti inayokupa faida ya hadi mara kibao ya dau lako. Ni Meridianbettz pekee utakapoweza kupata burudani hii.

CHEZA HAPA

11 Komentara

    Liverpool mko makini

    Jibu

    Liverpool wako vizuri

    Jibu

    Liverpool wapambane kuipata hiyo saini

    Jibu

    Liverpool wakazane ili waipate hiyo saini

    Jibu

    Nice update

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Kloop chukua jembe hili

    Jibu

    Yaani Klopp tokea achukue ubigwa kila siku nikusajili tu

    Jibu

    Wapo vizuri

    Jibu

    Akiwa na miaka 26 anaonekana kuwa bora ndani ya uwanja jambo ambalo limewafanya Liverpool wavutiwe naye na wapo tayari kuweka mkwanja mezani ili kupata saini yake.

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

Acha ujumbe