Imeripotiwa kwamba Klabu ya Liverpool inawania saini ya kiungo wa Klabu ya Udinesse, Rodrigo De Paul ili ajiunge ndani ya kikosi hicho cha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu England.
Mbali na Liverpool kuwania saini ya nyota huyo raia wa Argentina ambaye anacheza ndani ya Serie A pia Klabu ya Inter Milan nayo inatajwa kuwania saini ya kiungo huyo.
Akiwa na miaka 26 anaonekana kuwa bora ndani ya uwanja jambo ambalo limewafanya Liverpool wavutiwe naye na wapo tayari kuweka mkwanja mezani ili kupata saini yake.
Dau ambalo Liverpool inatajwa wameweka ni Euro milioni 30 kupata saini ya nyota huyo ambaye kwa msimu huu wa 2020/21 amecheza jumla ya mechi 23 amefunga mabao matano na pasi tatu za mabao na kwa upande wa kadi ameonyeshwa kadi mbili za njano na moja nyekundu.
BusttheBank ni sloti inayokupa Mkwanja wa kutosha. Ndio, hii ni sloti inayokupa faida ya hadi mara kibao ya dau lako. Ni Meridianbettz pekee utakapoweza kupata burudani hii.
Venerose
Liverpool mko makini
Rahma
Liverpool wako vizuri
Neema juma
Liverpool wapambane kuipata hiyo saini
Sarah
Liverpool wakazane ili waipate hiyo saini
Angelina
Nice update
Caroline
Good news
Issa
Kloop chukua jembe hili
warda
Yaani Klopp tokea achukue ubigwa kila siku nikusajili tu
Lydia Emmanuel Magoti
Wapo vizuri
David Pere
Akiwa na miaka 26 anaonekana kuwa bora ndani ya uwanja jambo ambalo limewafanya Liverpool wavutiwe naye na wapo tayari kuweka mkwanja mezani ili kupata saini yake.
Hopemwaikuka
Safi sana