Klabu ya Real Madrid wameiambia Manchester United kwamba watamchukua Donny van de Beek mikononi mwao kwa mkopo kama sehemu ya makubaliano ya Raphael Varane.
Jarida la The Sun, limeripoti kuwa Real Madrid pia wanataka kiasi cha Euro milioni 50 kwaajili ya kumuachia mlinzi huyo wa kati wa Ufaransa mwenye miaka 28.
Kutokana na mapambano ya Van de Beek huko Manchester United tangu kusajiliwa kutoka Ajax, hii inaweza kuwa biashara ya kuvutia.
Machester United wanajiapanga kuelekea msimu mpya huku wakiwa tayari wameshakamilisha dili la mshambuliaji Jadon Sancho kutoka Borussia Dortmund.
IcyGems kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet. Ndio, ukiwa kwenye nyumba ya mabingwa, ndipo utakapoufurahia ubora wa Kasino ya Mtandaoni sambamba na kushinda kwa ushindi mkubwa! Ishi na hii, IcyGems!

