Man United Kuwauza Wachezaji 7 Januari!

Man United wnaripotiwa kuwa wanapanga kuachana na wachezaji kama saba katika dirisha la uhamisho la mwezi Januari.

Mashetani Wekundu waliteka dirisha la usajili la hivi karibuni la uhamisho na kwa kumrejesha tena Cristiano Ronaldo, wakati Jadon Sancho na Raphael Varane pia wakiwa sehemu ya usajili Mashetani Wekundu.

Hata hivyo, wachezaji wakubwa walioondoka walikuwa machache sana kwa upande wa Ole Gunnar Solskjaer, wakiachana na Sergio Romero na Daniel James aliyekwenda Leeds United.

Donny van de Beek Man United
Donny van de Beek anatajwa kama mmoja wa wachezaji wanaotarajiwa kuachana na Man United Januari

Huku United ikidhaniwa kuwa kuwa inapanga uhamisho wa pesa nyingi kwa Declan Rice au Jude Bellingham katika msimu wa joto wa 2022, The Sun inaripoti kwamba wachezaji saba wasio na nafasi kubwa kwa sasa wanaweza kuondoka kwenye dirisha lijalo la uhamisho.

Ripoti hiyo inawataja Donny van de Beek, Jesse Lingard, Diogo Dalot, Phil Jones, Eric Bailly, Anthony Martial na Alex Telles kuwa wanaweza kuondoka, na United wamekaa na kila mchezaji kujadili hatma yao kabla ya mwisho wa mwaka.

Lingard alitarajiwa kukamilisha uhamisho wa kudumu kwenda West Ham United msimu huu wa joto, ingawa hivi karibuni Solskjaer alidai kwamba Mashetani Wekundu wanafanya mazungumzo na mshambuliaji huyo juu ya mkataba mpya.


MKWANJA NJE NJE NA DISCO FUNK

Unaanzaje siku yako na kuimaliza bila kupitia katika kasino bomba za meridianbettz, mchezo mashuhuri wa Disco Funk unaweza kukufanya uwe mshindi leo hii.!

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.