United Kupewa Andre Silva Toka Eintracht Frankfurt

Manchester United Watapewa Andre Silva Kutoka Eintracht Frankfurt’

Manchester wanatarajia kumfukuzia mshambuliaji wa Eintracht Frankfurt Andre Silva msimu huu wa joto ikiwa Edinson Cavani hataongeza muda wake wa kukaa pale Old Trafford, kwa mujibu wa ripoti.

Cavani amekuwa akifanya vizuri sana kwa muda mfupi aliokuwepo huko Old Trafford na mkataba wake una chaguo la kuongeza mwaka mwingine.

Manchester United Watapewa Andre Silva Kutoka Eintracht Frankfurt

Taarifa zinaonesha kuwa mpango wa United ni kumbakiza na Mashetani Wekundu na kuendelea kuwa naye kwenye vitabu vyao kwa kampeni ya 2021-22 licha ya na umri wake na kuumia kwa hivi karibuni.

MAshetani wekundu wanatarajiwa kuwa wataingia sokoni kwa ajili ya nyota huyo mpya msimu huu wa joto bila kujali, wakati Erling Braut Haaland akihusishwa na dili la mabadilishano la kwenda upande Manchester.

 


TENGENEZA FAIDA KATIKA SLOTI PENDWA HAPA MERIDIANBET

BusttheBank ni sloti inayokupa Mkwanja wa kutosha. Ndio, hii ni sloti inayokupa faida ya hadi mara kibao ya dau lako. Ni Meridianbettz pekee utakapoweza kupata burudani hii.

CHEZA HAPA

8 Komentara

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Kijana Yuko vizuri

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Jambo zuri

    Jibu

    Anafaa pia

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.