Massimiliano Allegri Kamaliza Kuhusu Morata!

Kocha wa Juventus Massimiliano Allegri amemaliza mzizi wa fitna juu ya tetesi za uhamisho wa Alvaro Morata kujiunga na Barcelona.

Morata amekuwa akihusishwa sana na Barcelona hivi karibuni, kukiwa na mapendekezo kwamba anaweza kumaliza mkataba wake wa mkopo wa miaka miwili mapema zaidi.

Mchezaji huyo wa kimataifa wa Uhispania alidaiwa kujiunga na Barcelona kwa mkopo kwa miezi sita, kukiwa na nia ya kufanya uhamisho wa kudumu.

Lakini inaonekana kwamba dili hilo halitafanyika tena, baada ya mkufunzi wa Juventus Allegri kuzungumzia uhamisho huo.

Allegri alikutana na Morata mapema wiki hii, na ameweka wazi bila shaka kwamba dili hilo halitafanyika.

Alinukuliwa na Soka Italia akisema: “Nilimwambia Alvaro kwamba anabaki hapa, haondoki Juventus, mwisho wa hadithi.”

Hilo linaweza kuwa pigo kubwa kwa Barcelona, ambao walikuwa na matumaini ya kuimarisha safu yao ya mbele msimu huu wa joto.


TENGENEZA FAIDA NA ZEUS ANCIENT FORTUNES

Una Kila sababu ya kufurahia wiki yako na kutengeneza mwaka huu uwe wa faida zaidi katika kasino zetu za mtandaoni za meridianbettz. Mchezo wa Zeus Ancient Fortunes unakuongoza kutekeleza hilo.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.