Mbappe:Tunaheshimiana na Neymar.

Mbappe nyota wa klabu ya PSG na timu ya taifa ya Ufaransa amefunguka kwa kinachoendelea kati yake na mchezaji mwenzake Neymar Jr.

Kumekua na taarifa mbalimbali siku kadhaa nyuma kua wachezaji hao hawapikiki kwenye chungu kimoja na hali hiyo ilitokana na Klian Mbappe kusaini mkataba mpya ndani ya klabu ya PSG na  mkataba huo unaelezwa ulimpa nguvu mchezaji huyo ndani na nje ya uwanja na inaelezwa Mbappe alihitaji Neymar auzwe klabuni hapo jambo lililochochea ugomvi huo.

mbappeMbappe amefunguka kua yeye na Neymar wana uhusiano mzuri na wanaheshimiana lakini inategemea na wakati kuna muda wanakua marafiki sana na kuna muda wanakua kawaida lakini kikubwa anasema heshima ipo baina yao.

Pamoja na maneno yanayoendelea baiana ya wachezaji hao wawili lakini wanaendelea kushirikiana vizuri uwanjani na kuisaidia klabu hiyo kupata matokeo.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.