Hii siyo mara ya kwanza kwa siku za hivi karibuni raisi wa Barcelona Josep Maria Bartomeu kusisitiza Messi atasalia klabuni hapo.
Taarifa za Messi kutaka kuondoka klabuni Barcelona zinaendelea kuumiza vichwa vya mabosi wa Barcelona ambao wanajaribu kukanusha taarifa hizo kila wakati.
Inakumbukwa wiki kadhaa zilizopita Messi ametajwa kuwa kuna mambo fulani klabuni hapo yameshamtibua na anataka kuondoka. Awali messi alikuwa akijitokeza kukanusha taarifa zozote sisizo za kweli kuhusu hatma yake. Lakini kwa sasa amekuwa kimya zaidi kuzungumzia hilo baada ya kutajwa kuwa amechoshwa na baadhi ya mambo.
Messi kukaa kimya siyo kawaida, na hii inaongeza zaidi minongo’no juu ya hatma yake. Kimsingi kuna namna ambayo inaonekana klabu na Lionel Messi wanashindwa kufikia makubaliano.
Kwa mujibu wa raisi Josep Maria Bartomeu, klabu imeshajaribu kuongea na Messi na wanaendelea kuongea na nyota huyu kumshawishi juu ya kuongeza mkataba. Messi alikataa kusaini mkataba wa maisha klabuni hapo, na sasa kuongeza mkataba inakuwa ni kipengele kidogo.
Wadau wanadai kuwa kama Messi angekuwa na utayari na hana shida na kusalia Barcelona basi mazungumzo ya hatma yake yangekuwa yamekamilika, ukizingatia mda aliokuwepo klabuni hapo hii ni ishara kuna jambo huenda haliko sawa.
Barcelona wana imani wataweza kumshawishi kusaini mkataba mpya. Mkataba wake wa sasa unaisha mwaka 2021. Ametoa mchango mkubwa klabuni hapo tangia alipofika mwaka 2004.
“Tuliongea, tumeonga na tutaendelea kuongea na Messi. Atasaini tu mkataba mwingine naamini”
-Josep Maria Bartomeu
Kuna ofa kibao sana unzaofaidi ikiwa unabashiri na Meridianbet. Jiunge sasa kufurahia ofa zetu
Bonyeza HAPA Kujiunga
mwajumah
Asanten meridian kwa makara #Meridianbettz
warda
Huyu Messi Nae si Aje Man U#Meridinbettz
Angelina
Nadhani ni uvumi tu Messi hawezi kuondoka barcelona
Tatu
Messi awezi kuondoka Barcelona #meridianbet
felister
Ili Messi aondoe iyo minong’ono aseme ukweli
Mwanahamisi
Messi mfalme wa barcelona hawezi kutoka hapo
Lydia Emmanuel Magoti
Messi awez kuondoka Barcelona
isha
Watu wanapenda sana kuvumisha mambo ambayo siyakweli messi baki hapo hapo barcelona
Magdalena
Barcelona fanyeni juu chini mbali na Messi
Zeiyana
Messi ni mfalume wa Barcelona hawezi kuama naimani hata staafu akiwa Barcelona
Salma
Bora abaki bacrelona messi
caroline
Messi nenda sehemu nyingine ukaonyeshe kipaji chako
Omary lukumbi
Barcelona wamekua na ufinyu wa mawazo sana hyu mess wanamuona km mungu wao kwa nn wasiangalie mbadala wake baadala ya kuendelea kung’ang’ania tuu mtu hataki yan imekua kama kuondoka kwa mess Barcelona imekufa hii ndio alikua haitak mzee sir Alex Ferguson mchezaji kua juu ya timu yeye ndio awe na saut anachotaka yeye ndio club mfanye wakati Barcelona ndio imemfanya akawa pale alipo sasa huu ni upuuz huu kama ningekua rais wa Barcelona uuza kabisa mess leta mtu atakae tengenezwa kua kama yeye baadae sio.muda wa kumbebeleza wee kama mnaomba uhai bwana yeye ndio alieshikilia maisha yenu
Franky
Ni habari njema
Khadija
Bola messi abaki#meridianbettz
Shafii
Still atamalizia career yake hapo hapo.
Issa
Ni mess mchaw tu kuhama Barcelona ni kitu kigumu sababu ni timu iliomtibu ugonjwa wake wa kudumaa hivyo ni kama analipa fsdhila
Edgar
Haindoke tu akapambane kwenye vilabu vingine.
Njiku
Kwel maana barca bila messi haiwezi fanya vizur
JULIANA
Kweli Messi anategemewa aise
Hope mwaikuka
Na lazima Asian na abaki barca tu
Gabriel
Messi amenukuliwa mara kadhaa kuwa hahitaji kuondoka klabuni Barcelona. Ripoti zilitaja kuwepo kwa jitihada za kuhakisha Messi anasaini mkataba wa Kusalia Barca maisha yake yote ya soka. Lakini akanukuliwa akisema ‘hahitaji mkataba wa maisha’ klabuni hapo.
Kama Messi akisaini mkataba wa maisha ina maana kuwa nyota huyu atasalia klabuni hapo hadi kustaafu soka lake. Lakini staaa huyu aliona bado siyo sahihi kwake kujifunga kiasi hicho na kuona huo sio mkataba mzuri kwake licha ya ukweli kuwa anaweza kuwepo hapo maisha yake yote hata bila mkataba wa namna hiyo.
Messi aliweka wazi kuwa Barca walipendekeza asaini mkataba wa maisha, ila yeye aliona si sawa. Mwaka 2019 Akizungumza na Radio Metro Lionel Messi alisema
Ni kweli Barcelona walinipendekezea mkataba wa maisha, lakini nilichokisema ni kuwa sitaki mkataba ambao unanifunga mimi kiasi hicho. Nahitaji kuwa sawa kuendelea kucheza, niendelee kupambania magoli hapa. Naweza kuwa hapa maisha yangu yote, lakini bila huo mkataba wa maisha. Naweza kuwepo hapa maisha yote.
Johnmary joel
Bado anatafakari lakin kama Maelewano mazuri na viongozi wake anaweza kuondoka#meridianbett
Hamidu
Habari njema! Kwa mashabiki Wake & team nzima#meridianbettz
Furahav
Habari nzuri.
devotha
Messi tunakuomba usaini mkataba mpya na uendelee kubakia barcelona
Rehema
Hii ni habari mzuri
Povel tz
Messi abak Tu
sabrina
Mess atamalizia soka lake barca
Amiri Kayera
Mess awez kuondok
Asia Abdy
Maboss wanamkubal sana mess lazima waumize kichwa
Ernest
Messi Bora asepe tu ndani ya Barca
Latifa juma mohamed
Namkubali Sana Messi don’t leave barc.
David Pere
Afanye mpango wa kusepa kwenda kucheza sehemu nyingine
Ester jackson
Barcelona wanahaha sana mana messi akiondoka tu imekwisha
Dorophina
Messi hawezi kuondoka Barca yy ndio kila kitu pale akiondoka sijui ht itakuwaje
Genia Sikaluzwe
Messi hawezi kuondoka Barcelona ndiyo nyumbani na piya wanamtegemea Sana
Flomena
Sizani Kama Messi anaweza ondoka Barcelona
Neema juma
Messi anajua wanamtegemea kwa kiasi kikubwa kunyamaza kwake ni km pozii tu ila kutoka Barcelona hatoki
Saupha mohamed
Mess kutoka Barcelona izo ni ndoto
Samiah
Kuondoka Barcelona Mess cyokweli