Jimenez, Mshambuliaji hatari wa Mexico na Klabu ya Wolvehampton anakaribia rekodi ya Upigaji wa penati iliyowekwa na mu Ivory Coast Yaya Toure.
Jimenez amefanikiwa kufunga penati 6 mfululizo, baada ya jana kufunga goli la aina hiyo walipowakaribisha vijana wa Carlo Ancelotti.
Wolves walifanikiwa kuwaadhibu Everton magoli 3-0 katika uwanja wao wa Molineux. Huku Jimenez akifunga penati kwa ustadi.
Daniel Podence alichezewa madhambi katika eneo la hatari na refa Anthony Taylor aliamuru penati ipigwe kuelekea Everton.
Mchezaji huyo mwenye miaka 28, amefanikiwa kufunga penati zote sita alizopiga msimu huu, toka alivojiunga kutoka Benifica.
Mchezaji wa zamani wa Manchester City Yaya Toure ndie anashika rekodi hiyo ya mwenendo mzuri wa upigaji wa penati, akiwa amefunga penati 11 akiwa na klabu hiyo.
Mchezaji wa zamani wa Tottenham na Manchester United, Mshambuliaji Dimitar Berbertov anashika nafasi ya pili, huku nafasi ya tatu ikishikwa na staa wa zamani wa Liverpool Jan Molby wakilingana na Rickie Lambert aliyeichezea Southampton.
Jimenez ana jumla ya magoli 16 katika mechi 35 msimu huu, baada ya kufunga katika mchezo wa jana na kutolewa dakika ya 78.
Yaya ToureΒ –Β 11
Dimitar Berbertov – 9
Jan MolbyΒ – 7
Rickie LambertΒ – 7
Raul JeminezΒ – 6
Kuna ofa kibao sana unzaofaidi ikiwa unabashiri na Meridianbet. Jiunge sasa kufurahia ofa zetu
Bonyeza HAPA Kujiunga.
fatumakasom
Habari nzuri
warda
Jimenez Anajitahidi sana sasa Hivi#Meridianbettz
Mwanahamisi
Asante kwa taarifa
Latifa juma mohamed
Jinemez , yupo vizuri sana
Angelina
Jimenez yuko vizuri sana
felister
Jimenez mshambuliaji hatari wa mexico
Tatu
Asante kwa taarifa
isha
Hongera sana jimenez kwa kufunga penat 6 mfululizo unasitahili tunzo
Lydia Emmanuel Magoti
Jimenez yupo vizuri Sasa hivi
Magdalena
Jimenez anakuja juu Sana anajua
Salma
Asante kwa taharifa
caroline
Jimenez anakuja vizuri
Khadija
Jinemez kwa sasa anajitahid sana#meridianbettz
Franky
Safiii sanaaa habar yakibabe ihii
Omary lukumbi
Jimenez ni mchezaj hatar sana tangu akiwa benfica na ujio wake kuja Wolverhampton imeleta tija na kuonesha kiwango bora sana mpka.kizishtua club kubwa ulaya kuanza.kuifukuzia sain yake
Shafii
Jimenez huyo jamaa atakuja kufika mbali yuko vizuri Sana.
Issa
Jimenez ni fowad hatari na muhim sana pale wolves na vilabu vikubwa vinamuwania
Edgar
Pongezi kwake na aendelee hili afike iyo record.
Njiku
Ipo poa hii kwa raul ni mchezaji mzuri sanaa
Hope mwaikuka
Jamaa yuko vzur sana
Isaya massawe
Mchezaji hatari sana huyu
Gabriel
Sio kuwa anaikarbia anauwezo wa kuipita kabisa Jimenez kwa upande wng namkubal sana kwan ukiangalia historia yake anastahil kuchukukuliwa kwa dau kubwa kwn Wolves walipochezana dhidi ya West Ham United Jimenez alionyesha kufunga magol mengi sana na kuivunja rekodi iliyokuwa inashikiliwa na Javier Hernandez na kuwa Mmexico aliye tupia wavuni goli nyingi kwa msimu mmoja katika ligi ya EPL
Alianza kazi yake katika mfumo wa vijana wa klabu ya AmΓ©rica kabla ya kuanza katika msimu wa kwanza mwezi Oktoba 2011. Alishinda michuano yake ya kwanza na AmΓ©rica mwaka 2013.
Hivyo basi kwa dau ambalo wolves wameliweka kwa mshambukiaji huyo liko sana kabisa kuwa ukiangalia Kuna baadhi ya klabu kubwa Kama arsenal na man u walikuwa wanamtaka kutokana na uwezo wake maana n bonge la mchezaji
farida ahmadi
Habari nzuri Sana
Furahav
Anajua kijana.
Johnmary joel
Anapambana vya kutosha#meridianbett
Ernest
Jimenez hatari sana kwenye kufumania namba
devotha
Jimenez ni mchezaji ambae anakuja vizuri sana
Rehema
Gud news
sabrina
Kijana yuko vizuri sana
Povel tz
Jimenez anastail yupo vzr sana
Amiri Kayera
Mpgaj mzur wa penalty
Samiah
Huyu jamaa anakuja kwakasi ya 4G
Asia Abdy
Kijana yuko moto akazane
David Pere
Anitahidi ili ampiku naye awake Record zake naye
Dorophina
Jimenez yupo vizuri
Genia Sikaluzwe
Huyu jamaa ni mpambanaji sana
Flomena
Kijana ni mpambanaji sana
Neema juma
Kasi yake ya uchezaji inafurahisha
Saupha mohamed
Anajitaidi sanaaa safii