Mkude Akosekana Mazoezini

Kiungo wa Simba, Jonas Mkude ndiye mchezaji pekee aliyekosekana katika mazoezi ya jana Jumatano katika uwanja wa Mo Simba Arena.

MeridianbetSport ilishuhudia wachezaji wa Simba wakishuka katika basi lao na kuanza mazoezi huku Kiungo huyo fundi akiwa hayupo katika jopo hilo.

Habari ambazo MeridianbetSport tumezipata kutoka kwa mmoja jopo ndani ya kikosi hicho nyota huyo hakuuungana na wenzake kutokana na matatizo ya kifamilia ambayo ameyapata.

“Mkude ni kweli hayupo ana matatizo ya kifamilia na kocha amemruhusu kwenda nyumbani kuyatatua,”amesema mmoja wa jopo hilo ambaye hakutaka kuandikwa jina na kusema kuwa kocha wake Didier Gomes ndiye mwenye mamlaka ya kuzungumzia kutokuwepo kwake.


PESA IPO HAPA KATIKA KASINO YA LUCKY LUCKY.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.