Muller Asaini Kandarasi hadi 2023

Bayern Munich imethibitisha kuongeza mkataba wa Thomas Muller hadi 2023. Mjerumani huyo mwenye medali ya Kombe la Dunia ni moja ya wachezaji waliokuwa kwenye mazungumzo kuhusu kuongeza mkataba, na kwasasa ametia saini kwenye kandarasi mpya atakayohudumu kwa msimu mitatu akiwa Bayern Munich.

Pamoja na kuporomoka kwa uchumi kwenye michezo kwa sababu ya Corona, Bayern Munich imetoa taarifa kuhusu kumuongezea mkataba kipenzi cha mashabiki.

Muller amecheza jumla ya mechi 521, amefunga magoli 195 na assist 186 katika kipindi chake chote.

Thomas Muller

Taarifa hii imekuja siku kadhaa baada ya Hansi Flick kuwa Kocha mkuu wa klabu, hilo sio la kushangaza kwa inajulikana kuwa Flick ni mshabiki wa Muller dimbani na ndio maana amesaini kandarasi kwani Flick amesaini tayari kuwa kocha mkuu.

6 Komentara

    Ndio mida muagaka kwa kumaliza mpira wake

    Jibu

    Muller kipenz cha watu

    Jibu

    Waooo hiyo safii sana. Wamefanya vyema kumwongezea mkataba mpya

    Jibu

    Wamefanya vyema kumwongezea mkataba mpya

    Jibu

    Muller hongera sana

    Jibu

    Muller apo ndio kwako munich safi sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.