Napoli Watinga Fainali Coppa Italia

Dries Mertens ameweka rekodi akiwa na Napoli baada ya goli lake kuitoa Inter Milan Bingwa mara tano na kuipeleka timu yake fainali ya Coppa Italia.

Mechi ya kwanza walifanikiwa kupata ushindi wa 1-0, Napoli walianza kwa kuruhusu goli ambapo Christian Eriksen moja kwa moja kutoka mpira wa kona.

Msambuliaji wa Ubeligiji, Mertens akaweka kamba nakufanya kuwa 2-1 kwenye matokeo ya jumla akipokea assisti kutoka kwa Lorenzo Insigne kufuatia sahmbulizi la kushtukiza.

Lilikuwa ni goli lake la 122 akiwa Napoli, moja zaidi ya Mslovakia Marek Hamsik.

Napoli, mara mwisho walitwaa taji hilo 2014, watakutana na Juventus kwenye fainali bila mashabiki Jumatano kwenye dimba la Stadio Olimpico, Roma.

Makala ijayo

43 Komentara

    Safiiii sana napol

    Jibu

    Napoli wapo vzr##meridianbettz

    Jibu

    Napoli babalao#meridianbettz

    Jibu

    safi

    Jibu

    Napoli wapo vizuri sana

    Jibu

    Ukizungumzia mabigwa Napoli nao wapo chama kubwa

    Jibu

    Napoli nawakubali sana

    Jibu

    Napoli wako vizuri

    Jibu

    Napoli wapo vizuri sana

    Jibu

    Safi Napoli

    Jibu

    Safi Juventus ubigwa lazima

    Jibu

    Fainali hii karata yangu ipo kwa Napoli

    Jibu

    Karata yangu nampa Juventus kuchukua Coppaitalia. Napoli iataoa upinzani lakini kombe kwa Bibi kizee wa Turin#meridianbettz

    Jibu

    Napoli iko vizuri.

    Jibu

    Itakuwa fainali nzur

    Jibu

    Waendelee kukaza buti

    Jibu

    Itakuwa hatari huku mnyama Napoli huku juventus mambo yatakuwa powa sana

    Jibu

    Napoli nyie nilijua tuu maana ni wakali wa mambo hongereni

    Jibu

    Hongera zao

    Jibu

    Hongera yao

    Jibu

    Safii Sana boge la game patachimbika Sana Napoli jeshi

    Jibu

    Napoli nyoko asikwambie mtu Napoli lazima ishinde

    Jibu

    Fainali ya Coppa Italia itakiwa bonge la mtanange

    Jibu

    Ni jambo zuri kwao

    Jibu

    Napoli jeshii

    Jibu

    Inter Jana walicheza Mpira mwingi sana sema awakua na bahati

    Jibu

    Hongera Sana team work ni nzuri mkiwa mnalengo moja

    Jibu

    Napoli wanakitu kutuonesha kwny escudeto dhid ya Juventus bonge la fainal thnks meridian bet kwa update

    Jibu

    anaenda kukutana na juve ndio unakuwa mwisho wake

    Jibu

    Wakaze tyu

    Jibu

    Napoli mbele ya Juventus hana chake

    Jibu

    Sasa ni zamu ya Napoli kulichukua cops italy

    Jibu

    Napoli wapo vizur sana

    Jibu

    dah huzuni kwel chama langu inter nn ttzo.??

    Jibu

    Saafi

    Jibu

    Apa ni kumuombea Juve tu#Meridianbettz

    Jibu

    Safi Sana wakaze buti wachukue ubingwa

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Hongera kwa Napoli # meridianbet

    Jibu

    Napoli Safi sana

    Jibu

    Napoli katishaaaa

    Jibu

    Safi

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.