Man United wamekuwa wakimfukuzia Jadon Sancho wa Borrusia Dortmund kwa kipindi chote cha dirisha hili la usajili huku kukiwa na kupishana katika mazungumzo kati ya klabu inayomnunua na inayomuuza.
Tarifa zinaripoti kuwa kuna maendeleo mapya katika mazungumzo ya kuipata saini ya nyota huyu. Manchester United wanajiandaa kuwasilisha ofa yao ya mwisho kwa Sancho wiki ijayo inayotajwa kuwa na thamani ya £75m pamoja na zidada ya £15m kama ilivyoripotiwa na Daily Star.
Saini ya Sancho imekuwa gharama na imechukua mda mwingi wa Man United sokoni. United wakiwa wanatazamia kuboresha safu yao ya ushambuliaji, Sancho alikuwa ndiye kipaumbele cha Ole Gunnar Solskjaer katika mpango wake.
Dortmund walisitiza kuwa walikuwa tayari kutomuachia Sancho kwenye dirisha hili kama wanunuzi wasingekubali dau la awali hadi Agosti 10. Hata hivyo mazungumzo kati ya klabu mbili yaliendelea na kwa mujibu wa Daily Star ni kuwa klabu ipo tayari kuwakilisha ofa ambayo watamlipa Sancho mshahara wa £175,000 kwa wiki.
Makubaliano ya awali na mchezaji mwenyewe yanatajwa kukamilika na sasa Ed Woodward ataiwasilisha ofa ya Man United ya mwisho wiki ijayo.
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.
Frank P
Sasa Man u wanamtaka wakamuue kipaji au akawasaidie?Ole hana chakunsaidia Sancho kwa aina ya ufundishaji wake
Lydia Emmanuel Magoti
Itakuwa poa Sana Man U wakipata Sain ya Sancho yupo vizuri dogo Man msikwame Sasa kwauyo dogo
magdalena
united wamekuwa wagumu wa kukata tamaa juu ya mwamba sancho
Adelta
Sancho anamchango mkubwa kuliko hiyo ofa yao
Mwajumah
Man u wakipata saini ya Sancho itakua poa sana
Ernest
Sidhani kama Sancho ataweza kuondoka Dortumnd
Ester jackson
Man u ni muda wenu sasa mumchukue Sancho labda anaweza kuongeza ladha uwanjani
Zeiyana
Man u macho yao yote kwa Sancho tu lakini kwa ali hinavyo honesha hinaonekana kabic uwongozi wa Dortmound hawataki kumuuza Sancho wanapoteza mda tu
Tatu
Man u watafanya kila jitihada ili kumpata sancho
Sauda
Sancho baki hapo hapo
Gabriel
Man u wanamfukuzia sana Sancho tatizo wabahir sana
aisha
Sancho hawezi kuondoka dortmund maana amekunywa maji ya bendera ya tim
Hopemwaikuka
Usisepe sancho
Khadija
Sancho jeshi
Elika
Sancho kuondoka dotmund itakuwa ngumu
Nasra
Kijana yuko vzuri
Shan
Itakua ngumu kwa sancho
Caroline
Asante kwa taarifa
Dorophina
Man u waache kuchungulia mfuko watoe ela
Venerose
Sancho angalia wapi kwenye maslai manzur
Sabrina
Man u hawakati tamaa kwa Sancho
Neema
Sancho jembeee kwahy anajua wapi pakwenda na wapi pakutokwenda
Amani Maeda
Saini ya Sancho imeuteka Ulimwengu kama vipi Man United wafikirie plan B.
Rose kapinga
Sancho yuko vizuri
Janeflora malisa
Mambo mazur
Issa
Man ni pahala sahh kwako
Zahara omary
Sancho yuko vizur
Samiah
Yupo vzr Sancho
Flomena
Kijana Yuko vizuri anajielewa
Tumaini kasalile
Man utd wanamng’ang’ania Sancho Kama atacheza peke yake Kwenye kilos Kama clabu inamuwekea vikwazo watafute mshambuliaji mwingine Mbona wengi tu
Fatina
Kijan yupo vizur
felister
Sancho kuondoka Dortmund hicho kitu man wasahau
Saupha mohamed
Sancho yupo vizuri
Sadick
Nadhani Man U inatakiwa kuweka nguvu kwa wachezaji waliopo na kama ni kununua basi anunuliwe beki#meridianbettz
Amiri Kayera
Man u wanapg pesa t naona
Latifa juma mohamed
Sancho anamchango mkubwa kuliko hiyo ofa yao, kwa upande mwngn hawana haja ya kumng’ang’ania kwani atacheza peke yake kikosini watafute mwngn.
David Pere
Sasa Man u wanamtaka wakamuue kipaji au akawasaidie?Ole hana chakunsaidia Sancho kwa aina ya ufundishaji wake
Povel
United watu wa romance sana