Pep- Arsenal Kumfukuza Arteta Itakuwa ni Kosa Kubwa.


Meneja wa Manchester City Pep Guardiola amesisitiza Arsenal watakuwa wamefanya kosa kubwa endapo watamfukuza msaidizi wake wa zamani Mikel Arteta.

Pressure imezidi kuwa kubwa kwa Arsenal baada ya hapo jana City kuwaporomoshea kipigo cha magoli 4-1 katika robo fainali ya Carabao Cup uwanjani Emirates.

 

Arsenal wanashika nafasi ya 15 katika msimamo wa ligi ya EPl baada ya mechi 14 wakiwa wamefungwa mara 7 katika michezo yao 10 ya mwisho.

“Watakuwa wamefanya kosa KUBWA endapo watamfukuza Arteta, Nina uhakika wataendelea kumuamini” Pep aliiambia BBC Radio 5

“Naelewa wanaangalia matokeo lakini nilikuwa nae miaka kadhaa na ninafahamu ni mtu mzuri na ni meneja mzuri katika kila kitu anachofanya. Ni swali la muda gani atafanya vizuri.”

“Sipo katika bodi. Lakini kwangu mimi watafanya kosa kubwa kama wanafikiria [kumfukuza]” aliongeza Guardiola


VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!

Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini???

SOMA ZAIDI

16 Komentara

    Yani wamefeli Sana hawa jamaa sijui wanakwama wapi??

    Jibu

    Du sio poa kabisa

    Jibu

    Tena wasithubutu.Arteta ana mchango mkubwa Sana Arsenal

    Jibu

    Arteta yuko vizuri sana namkubali

    Jibu

    Wamuache wampe muda

    Jibu

    Sasa itakuwaje

    Jibu

    Areteta apew muda zaid

    Jibu

    Wakiona sawa wao tu

    Jibu

    Wampe muda kidogo

    Jibu

    Sio Poa kabisaa

    Jibu

    Sio poa

    Jibu

    Sio poa kabisa wampe muda atakaa sawa izo nichangamoto tuuu akizipitia atazishinda

    Jibu

    sasa wafanyeje

    Jibu

    Wampe muda kidogo

    Jibu

    Pep epl ishaanza kumshinda anataka kupunguza upinzani

    Jibu

    Arteta ameenda Arsenal wakati ambao sio sahihi

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.