Shirikisho la soka nchini Misri kinaangalia uwezekano wa kumpa kocha mkuu wa Al Ahly raia wa Afrika ya kusini Pitso Mosimane kibarua cha kuinoa timu ya taifa hilo.

Shirikisho hilo linataka kumpa Pitso mkataba ambao utamfanya aendelee kuinoa Al Ahly pia timu ya taifa hilo.
Hili limekuja siku chache baada ya Pitso kushinda tuzo ya Kocha Misri kutoka kwa Sports Critics Association baada ya kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Misri

Endapo dili hilo litatiki Pitso atakuwa kama kocha Frolentine Ibenge ambaye anakinoa kikosi cha As Vita na timu ya taifa ya Congo DR.
Kila mtu ana namba zake za bahati, Meridianbet tunatambua namba zinaweza kukufanya milionea leo. Jilipe kwa namba zako za bahati kila baada ya dakika tano.



Venerose
Hata hivyo Pitso yupo vinzur
Hopemwaikuka
Vzur
warda
Safi sana