Ronald Koeman ametaja kikosi cha wachezaji wa 20 ambacho kitawakiribisha Granada katika ligi kuu ya hispania katika dimba la Camp Nou usiku wa leo.
Barcelona anawakaribisha Granada wakiwa na kumbukumbu ya kupoteza dhidi ya Bayern Munich kwenye michuano ya klabu bingwa ulaya.

Kikosi kamili cha Ronald Koeman, Ter Stegen, Neto, Inaki; Dest, Mingueza, Pique, Araujo, Eric, Lenglet, Umtiti, Balde; Busquets, Gavi, de Jong, Roberto, Puig, Coutinho; Memphis, Luuk, Demir.

Samuel Umtiti ilisemekana hatakuwepo kikosini kutokana na majeruhi lakini atakuwepo, Riqui Puig pia nae kaingia kwenye kikosi, wachezaji wapya walio sajiriwa nao wameingia kwenye kikosi ambao ni Luuk de Jong, Eric Garcia na Memphis Depay.
Ni wakati wa ushindi mkubwa ukiwa na kasino bomba ya Lock a Luck, meridianbet wanakupa sababu ya ushindi, funga bahati yako ya ushindi ukiwa na mabingwa.


