Samatta Aanza Tizi, Fenerbahce

NYOTA wa Tanzania, Mbwana Samatta muda mfupi baada ya kuibukia ndani ya Klabu ya Fenerbahce ya Uturuki kwa mkopo akitokea Klabu ya Aston Villa ameanza kupiga matizi na wachezaji wenzake ndai ya kikosi chake kipya.

Samatta ameandika rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kucheza Ligi Kuu England na kufunga bao pia baada ya kuibukia huko akitokea Klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji.

Alisaini dili la miaka minne ndani ya Astov Villa ambayo iliponea chupuchupu kushuka daraja kwa msimu wa 2019/20.

Klabu ya Aston Villa imemuaga nyota huyo kupitia ukurasa wao wa Instagram kwa inamtakia kila la kheri kwenye maisha yake mapya.

Mchezaji huyo aliyeshinda taji la mfungaji bora mara kadhaa nchini Ubelgiji kabla ya kujiunga na Aston Villa nchini Uingereza atahudumu katika klabu hiyo kwa mkopo wa mwaka mmoja kabla ya kuandikisha kandarasi ya kudumu ya miaka minne.

Samatta amesema kuwa anafurahia maisha yake mapya na anawashukuru Aston Villa kwa kumpa nafasi ya kucheza kwenye ligi ya ndoto yake.


FURAHIA KASINO YA MTANDAONI

Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.

Cheza Sasa

35 Komentara

    Safi samtta fanya maajabu uko!

    Jibu

    kila la kheri samatta kapeperushe🇹🇿

    Jibu

    Kila la kheri

    Jibu

    Samatta faenrbahce ndio maala pake Aston villa palikua na ubaguzi sana tunategemea kuona maajabu zaidi ya pale

    Jibu

    All the best Samatta..

    Jibu

    Kila la kheri kwa Samatta ktk timu mpya#meridianbettz

    Jibu

    Kila La kheri jembe apo naona pata kufaa nautaupiga mpila kule ubaguzi mwingi Sam pambana jembe utafika unapo pataka

    Jibu

    Samatta Kila la kheri kwenye klabu mpya

    Jibu

    Wengi walitarajia kuendelea kumwona EPL lakini mambo yameenda ndivyo sivyo

    Jibu

    Kila lakher mtanzania mwenzetu.

    Jibu

    Watanzania tunakutegemea samata endelea kupeperusha bendera ya Tanzania

    Jibu

    Kila la kheri jembe

    Jibu

    Samatta namkubali sana

    Jibu

    Sammata fanya kazi yako hatua moja mbele songa hakuna kugeuka nyumba

    Jibu

    Hongera sana samatta kaza buti uko uendako

    Jibu

    Kapige kazi uonyeshe uwezo wako

    Jibu

    Samagoal labda uturuki atakua kwenye ubora tena

    Jibu

    Kaz kaz samagoal

    Jibu

    Safi sana sama goo.tuko nyuma yako

    Jibu

    Samatta Unazidi kuipeperusha vyema bendera ya tanzania

    Jibu

    Naamin atakiwasha San fenarbache

    Jibu

    Kila la kheri

    Jibu

    popote kambi

    Jibu

    Iko sawa

    Jibu

    Ulipo tupo Captain, All the Best

    Jibu

    Sama goal iz back

    Jibu

    Samatta ameandika rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kucheza Ligi Kuu England na kufunga bao pia baada ya kuibukia huko akitokea Klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji.

    Jibu

    Pongezi kwako tuwakilishe vyema watanzania kwa ushindi wa kishindo!!

    Jibu

    Piga kazi piga kazi samata umehamia fenerbahce na watanzania tuko pamoja na ww tumehamia uko uko

    Jibu

    Hainakufeli 🇹🇿🇹🇿

    Jibu

    samatta tunasubiri kuona maajabu yako zaidi kama tuliokuwa tunayaona kipindi upo genk nakuaminia kijana

    Jibu

    Mwamba sama goal mashabiki zako tunasubilia maajabu yako

    Jibu

    Kila la kheri champion boi +255

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.