Mchezaji wa zamani wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Jamie Carragher amesema kuwa kikosi cha Liverpool kinachonolewa na Jurgen Klopp hakitamaliza ndani ya nafasi nne za juu msimu huu wa 2020/21 kwenye Ligi Kuu England.

Mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu England wamekuwa kwenye mwendo wa kusuasa msimu huu jambo ambalo linatokana na wachezaji wake wengi muhimu kusumbuliwa na majeraha.
Mchezaji huyo wa zamani wa kikosi hicho cha Liverpool amesema kuwa bado anaona kuna gepu kubwa ambalo timu hiyo imeachwa jambo litakalowafanya washindwe kumaliza wakiwa ndani ya nafasi nne za juu.

Ikiwa imecheza jumla ya mechi 29 ipo nafasi ya 6 na pointi zake ni 46, imeachwa kwa tofauti ya pointi 25 na vinara ambao ni Manchester City wakiwa na pointi 71 baada ya kucheza mechi 30.
Carragher amesema:“Bado kuna gepu kubwa ipo ila kwa sasa siamini kama Liverpool itaingia kwenye nne bora,”.
Maana Kamili ya Ushindi Katika Kasino za Meridianbeti ni Pamoja na Mchezo wa Tropical Wild.
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Tropical Wild na uwe moja ya washindi na Mabingwa.



Lydia Emmanuel Magoti
Duuh sipoa
Sarah
Duuh
Caroline
Ayo siyo maneno
Dorophina
Hayo maneno tu jamie hana jipya
Neema juma
Duu nomaaa hii
Venerose
Mmmh kazi ipo
Adelta
Ngoja tusubiri matokeo
Mwanahamisi
Sio poa
Hopemwaikuka
Aisee
warda
Hawa Liverpool wamelewa sana sifa