SIMBA KUKIPIGA MECHI YA KIRAFIKI WIKIENDI HII

KLABU ya Simba inatarajia kucheza mechi ya kirafiki wikiendi hii kabla ya kusafiri kwenda Libya kucheza mechi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Al Tripoli.

Ahmed Ally, Afisa habari wa mawasiliano wa Simba ameiambia Meridian Sports kuwa inawezekana mchezo huo ukawa dhidi ya timu ya Ligi Kuu au Ligi Daraja la Kwanza ambapo kesho Jumatano watasema watacheza na nani.

“Tunaendelea na mazoezi kama kawaida kujiandaa na safari ya kwenda Libya kucheza mechi yetu ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Ahli Tripoli ya Libya.

“Lakini kabla ya hapo Wikiendi hii tutacheza mechi ya kirafiki na timu ambayo tutawatangazia kesho au Kesho Kutwa Jumatano,”

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.