SIMBA YACHUKUA ZOTE TATU KWA MKAPA

Simba kipindi cha kwanza mnamo dakika ya 3 tu waliruhusu bao baada ya beki wake wa kati Che Malone Fondoh kupiga pasi fupi ambayo ilinaswa na Hassen na kuweka mpira wavuni, Lakini wekundu wa msimbazi walitulia na kurejea mchezoni kuhakikisha wanasawaazisha na pengine kupata ushindi ndipo dakika ya 7 ya mchezo Kibu Denis akasawazisha na ubao kusoma 1-1.
Makala iliyopita
Wolves Wamtimua Kocha O’neil