Simba Msituni Kuziwinda Alama Tatu Muhimu Leo
Makala iliyopita
Guardiola: Sitaki Kuondoka Man City ikiwa kwenye hali hii
Makala ijayo
Wolves Wamtimua Kocha O’neil
Wekundu wa Msimbazi kama ilivyokua kawaida yao mara nyingi wanapokua kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa wamekua wakipata matokeo mazuri na leo wanawakaribisha Watunisia kwenye uwanja huo ambao timu nyingi vigogo wamewahi kucheza hapo na kuambulia vichapo, Hii ikiwa ni dalili nzuri kwa klabu hiyo yenye rekodi nzuri kwenye michuano ya Afrika.