Szoboszlai Auwasha Moto Hungury

Kiungo wa klabu ya Liverpool ambaye anaitumikia timu ya taifa ya Hungury Dominik Szoboszlai anawasha moto akiwa na timu yake ya taifa ambapo ameshafanikiwa kuiwezesha timu hiyo kufuzu michuano ya Euro 2024.

Dominik Szoboszlai mpaka sasa ameshafanikiwa kuhusika na mabao matano kwenye michezo mitatu ambayo ameingia uwanjani kuitumikia timu yake ya taifa ya Hungury.szoboszlaiKiungo huyo ambaye amejiunga na klabu ya Liverpool akitokea Rb Leipzig ya nchini Ujerumani amekua kwenye kiwango bora na timu yake ya taifa, Huku akishirikiana na wenzake kuhakikisha timu yake ya taifa inafuzu michuano ya Euro 2024 nchini Ujerumani.

Kiungo Szoboszlai ambaye pia ameanza vizuri kwenye klabu ya Liverpool timu ya taifa ya Hungury ilikua na mchezo leo dhidi ya Montenegro ambapo Montenegro wamepigwa mabao matatu kwa moja, Huku kiungo huyo akifunga mabao mawili katika mchezo mmoja.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.