Tetesi zinasema mazungumzo mapya ya mkataba mpya kati ya Liverpool na kiungo wa kati wa Uholanzi Georginio Wijnaldum, 30, yamegonga mwamba.
Mgombea wa rais katika klabu ya Barcelona Agusti Benedito anasema kwamba hafikirii kwamba Lionel Messi 33 ataongeza mtakaba wake katika klabu hiyo unaoisha mwezi Juni 2021.
Tetesi zinasema Manchester City inaamini wako mbele ya mstari kumsaini lionel Messi iwapo mshambuliaji huyo wa Argentina ataondoka Barcelona katika majira ya joto.
Everton inatarajia kupokea ofa za Moise Keane 20 kutoka klabu ya PSG , ambapo mshambulaji huyo wa Itali yuko katika mkopo lakini pia Everton haina haraka kuamua kuhusu hatma yake ya baadaye.
Tetesi zinasema Kiungo wa kati wa Arsenal na Ujerumani Mesut Ozil, 32, amekubali mkataba wa miaka mitatu na nusu na klabu ya uturuki Fenerbahce.
Hatma ya Ozil itaamuliwa hivi karibuni , lakini lengo la mshindi huyo wa kombe la dunia ni kusalia Arsenal hadi kandarasi yake itakapokamilika katika majira ya joto.
Tetesi zinasema Barcelona inasema kwamba itajaribu kuzungumza na Messi ili kumshawishi kuongeza mkataba wake baada ya kusema kwamba angependelea kucheza nchini Marekani mwisho wa mchezo wake.
Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??
warda
Asipoongeza mkataba aende timu yoyote
Magdalena
Barca kama wanaoma messi hafai bora wamuachie tu
Rahmal
Timu yoyote aende tyu popote kambi
Adelta
Barcelona hawaeleweki
Caroline
Asante kwa taarifa
Asia Abdy
Messi namkubal
farida ahmad
Habari njema Sana
Shakila mrope
Asant kwa taarifa meridian bert
Lydia Emmanuel Magoti
Habari hipo vizuri
Saupha mohamed
Habari njema
Dorophina
Inaonekana barca awawezi bila messi
Angelina
Nice update
Mwanahamisi
Habari njema
Fatina mfingi
Nice
aisha
Messi mtu mbaya
Sania
Habari njema
Issa
Mess badili upepo
Hopemwaikuka
Nmeelewa sana
Sarah
Habari nzuri