Tetesi zinasema mlinzi wa Brazil Alex Telles, 27, anataka kuondoka klabu ya Porto na kujiunga na Manchester United, ambao wanajaribu kushawishi kupunguziwa dau lake la £36.6m.
Liverpool wanatazamiwa kumtumia mshambuliaji Sadio Mane kumshawishi mchezaji mwenzake wa kimataifa wa Senegali Kalidou Koulibaly ili atue klabuni hapo kutoka Napoli, licha ya Manchester City na Paris St-Germain kuonyesha nia ya kumsaini mlinzi huyo mwenye umri wa miaka 29.
Tetesi zinasema PSG wanamtaka beki wa Chelsea Mjerumani Antonio Rudiger, 27, kwa mkopo wa msimu mzima.

Roma wanatarajiwa kuweka ofa nyingine ya pili kwa ajili ya mlinzi wa Manchester United na England Chris Smalling, 30, ambaye aliichezea timu hiyo ya ligi ya Serie A kwa mkopo msimu uliopita.
Tetesi zinasema Atletico Madrid wanalenga kumsajili kiungo wa Arsenal na Uruguay Lucas Torreira, 23.
West Ham wako tayari kupambana na Manchester United kwa ajili ya kupata saini ya beki wa kati wa Swansea City na Wales Joe Rodon, 22.

West Ham United imeweka ofa yenye thamani inayofikia £33m kwa ajili ya mlinzi wa kati wa Saint-Etienne Wesley Fofana (19), ambaye anawaniwa pia Leicester City.
Burnley wako kwenye mazungumzo na Liverpool kuhusu kumsajili winga wa wekundu hao na Wales, Harry Wilson, 23.
Lazio imefikia makubaliano na Southampton kwa ajili ya mlinzi wa Uholanzi, Wesley Hoedt, 26, kurejea kwenye klabu hiyo ya Italia kwa mkopo.
Tetesi zinasema Barcelona na Bayern Munich zimeweka ofa ya kumsajili Mlinzi wa kulia wa Ajax na Marekani Sergino Dest, 19.

Bayern imewasiliana na Mario Gotze kuhusu kujiunga tena na klabu hiyo. Mshambuliaji huyo wa Ujerumani, 28, ni mchezaji huru baada ya kuondoka Borussia Dortmund mwishoni mwa msimu uliopita.
Mlinzi wa kulia wa Atletico Madrid na Colombia Santiago Arias, 28, amewasili Ujerumani kwa ajili ya kufanyiwa vipimo na Bayer Leverkusen.
Mshambuliaji wa zamani wa Italia Francesco Totti anatarajiwa kurudi Roma kama mkurugenzi wao mkuu wa michezo.
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.


Leonard
Habari nzuri
Ester jackson
Chelsea dili hilo linakuja mnatakiwa mlotumie vizuri ili kupata pesa
magdalena
roma watakuwa wamepata mkurugenzi mzuri sana
aisha
PSG kama mtampata antonie rudiger itakua powa sana
Mwajumah
Hakika ni habari nzuri hasa upande wa Chelsea mnatakiwa mlitumie vizuri dili ilo linakuja
Dorophina
Man u wakimpata telles itakuwa poa sana
Shan
Itakua faid kwa man
Adelta
Roma imepata mkurugenzi mzuri
Elika
Aende tu huko man watafaidika sana na huyo telles
Sauda
Roma wamepata mtu makini sana
Ernest
Maisha ya PSG yanamuhusu Antonio Rudiger
Angelina
Goodupdate
Lydia Emmanuel Magoti
PSG Pana muhusu
Nasra
Gud news
Rehema
Bonge la makala
Janeflora malisa
Nice
Khadija
Habari njema
Tatu
Habari nzuri
Venerose
Habari njema
farida ahmadi
Habari njema Sana
Saupha mohamed
Itakua nafuu kwa man
Neema
Habari njema
Fatuma kasomo
Habari njm
Tahiya
Good news
Amiri Kayera
Taarifa nzur za usajir
Theonestina
Habari njema
Sabrina
Roma wamepata kiongozi bora
Tumaini kasalile
Good news
Gabriel
Nice update 👍
Samiah
Nice
Zeiyana
Me naona PSG wanaanza kumtafuta mbadala wa mbappe
Rose kapinga
Safii
Hopemwaikuka
Zmekaa poa
Issa
Habari njema
David Pere
Chelsea dili hilo linakuja mnatakiwa mlotumie vizuri ili kupata pesa