Tottenham Yamvizia Solanke
Makala iliyopita
AZIZ KI ATUMA UJUMBE MZITO SIMBA
Makala ijayo
Dani Olmo Kusaini Miaka sita Barca
Solanke alikua moja ya washambuliaji bora msimu uliomalizika akiwa amefanikiwa kufunga magoli (19) akiwa nyuma ya wachezaji wa tatu ambao walimpita mabao, Hii ni moja ya sababu ambazo zimewavutia Spurs kuhitaji saini ya mchezaji huyo ambaye amekua na msimu bora sana wa 2023/24.