Uchunguzi Unaendelea Kifo cha Maradona

Kifo cha Legendari wa soka, Diego Maradona kilikuwa pigo la ghafla kwa wadau na wapenzi wengi wa soka. Baada ya kifo chake mwili wake ulifanyiwa uchunguzi kuhusiana na madai kuwa huenda kliniki iliyokuwa ikimuhudumia matibabu ilihusika kupekelea kifo chake.

Licha ya kuwa bado hakujapatikana ushahidi wa moja kwa moja juu ya tuhuma hizo, bado uchunguzi unaendelea kubaini undani wa sakata hili. Taarifa ya awali ya post-mortem imebainisha kuwa Maradona hakutumia pombe au dawa yeyote kabla ya kifo chake.

Uchunguzi Unaendelea Kifo cha Maradona
Legendari Maradona, enzi za ujana wake.
Kifo cha Maradona huyu kinahusishwa na tatizo la moyo ambalo hupelekea moyo kufeli. Uchunguzi ulikuwa unahusisha kubaini pia kama kuna uzembe ulifanyika na kuwajibika kwa namna yeyote kwa kliniki ambayo awali pia ilipekuliwa na vyombo vya usalama.

Ushahidi haujaweza kutosheleza kuwajibisha upande wa wahumu wake wa Afya, na uchunguzi bado unaendelea kubaini zaidi undani wa sakata hili.


 

VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!

Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia m hezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini???

SOMA ZAIDI

9 Komentara

    Vizuri maradona nimtu mkubwa lazima uchunguzi uwekipasavyo

    Jibu

    Sawa sisi tunasubiri uchunguzi wao

    Jibu

    Kweli hawakubali kushindwa

    Jibu

    Kwani aliuwawa jamani si aliugua

    Jibu

    Mashabiki tunasubilia uchunguzi wao uchunguzi lazima maladona mtu mkubwa

    Jibu

    Dhuu atalii

    Jibu

    Legend kazimika

    Jibu

    Kuna mda inabd tukubaliane na ukwel tu

    Jibu

    Duu mpk kieleweke

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.