Vilabu 1β£0β£ tajiri Afrika mwaka (2020):
Ifuatayo ni orodha ya Vilabu Tajiri katika Bara la Afrika kwa mwaka 2020, kulingana na jarida la Googleboys.
1.πͺπ¬ Al Ahly – USD $28 million
2.πΏπ¦ Kaizer Chiefs – USD $23 million
3.πͺπ¬ Pyramids fc – USD $22 million
4.πΉπ³ Club Africain – USD $20 million
5.πͺπ¬ Zamalek SC- USD $18 million
6. Orlando pirates – USD $15 million
7. Wydad AC – USD $12 million
8.π¨π© TP Mazembe – USD $11 million
9.πΉπ³ ES Tuniscom – USD $11 million
10.π©πΏ MC Alger Officiel – USD $10 million
Naam, hapa ni mahali pako! Kuwa shujaa kwenye sloti hii ya Samurai Ken ujishindie mkwanja na kujipa burudani murua.Β
Dorophina
Asante kwa taarifa Africa imebarikiwa sana
Adelta
African iko Vizuri na imebarikiwa sana
Lydia Emmanuel Magoti
Safii sana
aisha
Pongezi kwa african
Sauda
Africa ndani!!!!!
Venerose
Good news
Caroline
TP Mazembe kumbe wapo vizuri
Fatina mfigi
Safiii
Angelina
Goodupdate
Mwajumah
Safi sana
Shani
Africa wako vizur
Tatu
Asante kwa taarifa
Fatuma kasomo
Gud news
Ernest
Ukanda wetu wa Africa Mashariki bado tunakazi kubwa sana
farida ahmadi
Habari njema
Sabrina
Duuh kumbee
felister
tp mazembe kumbe iko vizurii
David Pere
Ukanda wetu wa Africa Mashariki bado tunakazi kubwa san
Janeflora malisa
Nice
magdalena
afrika ipo vizuri sana katika soka
Tahiya
Natumai miaka ijayo vilabu vyetu hapa nchini vitaingia kwenye top 10
Saupha mohamed
Good news
zeiyana
afrika bado kabisa tupambane sana
Hopemwaikuka
Afrika mashariki haikuwa na viwango kuingiza timu
Povel
East AFRICA hapo vipi?