Wachezaji 25 wa kikosi cha Simba watasafiri leo jioni kwenda Khartoum, Sudan kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya mabingwa Afrika dhidi ya Al Merreikh.

Simba itacheza na Al Merreikh ya Sudan katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Kundi A mzunguko wa tatu huku wakiwa vinara kwenye kundi hilo baada ya kuichapa AS Vita na Al Ahly katika mechi za awali.
Ni Muda wa Kuvuna Mkwanja na Jungle Jim and the Lost Sphinx
Hauihitaji kufikira mara mbili ni mchezo gani utakupatia mkwanja ndani ya kasino za Meridianbet. Jiunge sasa ufurahie Jungle Jim and the Lost Sphinx.



David Pere
Simba itacheza na Al Merreikh ya Sudan katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Kundi A mzunguko wa tatu huku wakiwa vinara kwenye kundi hilo baada ya kuichapa AS Vita na Al Ahly katika mechi za awali.
Lydia Emmanuel Magoti
Mungu awape moyo wakujituma kwenye mchezo wao huo utakao chezwa taree 6 kutuletea eshima nchi yetu
Sarah
Kila lakheri simba
Rahma
Mungu awatangulize chama langu
Adelta
Mwenyezi mungu awasimamiye waje na ushindi
Venerose
Simba tuna imani ushindi wetu
warda
Kila la kheri kwao
Hopemwaikuka
All ze best
Caroline
Good
Angelina
Kila la kheri
Neema juma
Kila la kheri simba