Wachezaji 25 Simba Wakwea Pipa Kuifuata Al Merreikh

Wachezaji 25 wa kikosi cha Simba watasafiri leo jioni kwenda Khartoum, Sudan kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya mabingwa Afrika dhidi ya Al Merreikh.

Simba itacheza na Al Merreikh ya Sudan katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Kundi A mzunguko wa tatu huku wakiwa vinara kwenye kundi hilo baada ya kuichapa AS Vita na Al Ahly katika mechi za awali.


Ni Muda wa Kuvuna Mkwanja na Jungle Jim and the Lost Sphinx

Hauihitaji kufikira mara mbili ni mchezo gani utakupatia mkwanja ndani ya kasino za Meridianbet. Jiunge sasa ufurahie Jungle Jim and the Lost Sphinx.

  CHEZA HAPA

11 Komentara

    Simba itacheza na Al Merreikh ya Sudan katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Kundi A mzunguko wa tatu huku wakiwa vinara kwenye kundi hilo baada ya kuichapa AS Vita na Al Ahly katika mechi za awali.

    Jibu

    Mungu awape moyo wakujituma kwenye mchezo wao huo utakao chezwa taree 6 kutuletea eshima nchi yetu

    Jibu

    Kila lakheri simba

    Jibu

    Mungu awatangulize chama langu

    Jibu

    Mwenyezi mungu awasimamiye waje na ushindi

    Jibu

    Simba tuna imani ushindi wetu

    Jibu

    Kila la kheri kwao

    Jibu

    All ze best

    Jibu

    Good

    Jibu

    Kila la kheri

    Jibu

    Kila la kheri simba

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.