Victor Wanyama Ashika Namba 4 kwa Wanaolipwa Zaidi MLS

Victor Wanyama Kiungo Mkenya na Nahodha wa Montreal Impact ya Marekani, anatajwa kua ni mmoja wa Wachezaji wanaolipwa vizuri katika Major League Soccer (MLS)

Wanyama anaingiza Dola Milioni 3.09 (Tsh. Bilioni 7) kwa mwaka, kati ya kiasi hicho mshahara ni Dola Milioni 2.4 (Tsh Bilioni 5.5) akiwa ndiye Mchezaji anayeingiza fedha nyingi zaidi kwenye timu yake, akishika nafasi ya 14 katika orodha ya jumla ya wanaolipwa vizuri MLS

Victor Wanyama
Victor Wanyama

Nafasi tatu za juu kwa kulipwa vizuri MLS ni Xherdan Shaqiri (Chicago Fire) Dola Milioni 8.15 (Tsh. Bilioni 18.9), Javier Hernandez ‘Chicharito’ (LA Galaxy) Dola Milioni 6 (Tsh. Bilioni 13.9), Gonzalo Higuain (Inter Miami) Dola Milioni 5.79 (Tsh. Bilioni 13.4)


Bila shaka unatamani ushindi mkubwa, vipi kuhusu kujaribu Sloti hii ya Aliya’s Wishes? jaribu ushinde sasa.Kasino ya Mtandaoni

CHEZA SASA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.