Calisto Pasuwa:Tuliwaheshimu Simba SC

Kocha Mkuu wa Nyasa Big Bullets Calisto Pasuwa alisema kuwa, sababu kubwa ya timu yake kupoteza mchezo wao ya mkondo wa kwanza kwa bao 2 kwa 0 dhidi ya miamba wa Tanzania, Simba SC ni kwa sababu waliwaheshimu sana wapinzani wao.

Calisto Pasuwa:Tuliwaheshimu Simba SC

Pasuwa aliyasema hayo alipokuwa anazungumza na waandishi wa habari kuhusiana na mchezo wao huo wa Ligi ya Mabingwa Afrika CAFCL na ndipo alipoyasema hayo.

“Tuliwapa Simba SC heshima kubwa sana kwenye kipindi cha kwanza, kitu ambacho kilikuwa ni sababu ya kupoteza mechi tukiwa nyumbani. Haitakuwa rahisi kwetu tukiwa Tanzania” Alisema Pasuwa.

Calisto Pasuwa:Tuliwaheshimu Simba SC

Mabingwa hao wa Malawi, walipoteza mchezo wao kwa goli 2 kwa 0 wakiwa nyumbani dhidi ya Wekundi wa Msimbazi kutoka Tanzania, Magoli yakifungwa kipindi cha kwanza na Mshambuliaji wa Kimataifa wa Zambia Moses Phiri “MP” Kamanda, kwa mtindo wa Acrobatic baada ya kupokea Pasi nzuri ya kichwa kutoka kwa Kibu Denis.

Calisto Pasuwa:Tuliwaheshimu Simba SC

Goli la pili lilifungwa na Nahodha John Bocco baada ya kupokea pasi kutoka kwa Mwamba wa Lusaka Clatous Chama.

Calisto Pasuwa:Tuliwaheshimu Simba SC

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.