Manchester United Yabanwa mbavu Nyumbani.

Klabu ya Manchester United imeshindwa kupata matokeo katika uwanja wake nyumbani leo baada ya kulazimishwa sare ya bila kufungana na klabu ya Newcastle United.manchester unitedMan United wanapata suluhu ya kwanza msimu katika ligi kuu ya Uingereza  baada ya kuopoteza michezi mitatu na kushinda mitano huku wakibaki nafasi ya tano kwa alama 16 huku Newcastle wao wakisalia nafasi ya sita na alama zao 15 baada ya kuchezxa michezo tisa kila mmoja.

Klabu ya Manchester United ambayo ilianza msimu vibaya kwa kupoteza michezo miwili mfululizo huku wakirejea na kushinda michezo minne mfululizo kabla ya kuja kupoteza kwa iabu dhdi ya mahasimu wao klabu ya Manchester City.

Mpaka sasa klabu ya Manchester United inaonekana bado haijatulia kutokana na matokeo ambayo inakua ikiyapata chini ya mwalimu mpya Eric Ten Haag ambaye amejiunga na klabu hiyo msimu huu akitokea Ajax.manchester unitedJambo ambalo pia linaonekana kuwakwamisha Manchester United ni kutokua na muendelezo wa viwango bora kwa wachezaji wake ambao mara nyingi wanacheza vizuri michezo kadhaa na kucheza vibaya michezo mingine.

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.