YANGA WANATAKA KUANZA NA USHINDI TU

Kocha Mkuu wa Yanga Nasreddine Nabi, ameweka wazi kuwa mpango kazi namba moja ni kuanza kupata ushindi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Club Africain ya Tunisia.

Kesho Novemba 2, Yanga ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa mtoano kuwania kufuzu hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Afrika.

Mchezo huo utachezwa Uwanja wa Mkapa kisha ule wa pili Yanga itakuwa ugenini nchini Tunisia kukamilisha kete ya pili.

“Maandalizi yapo vizuri na kila mchezaji anajua kwamba mashabiki wanahitaji matokeo na benchi la ufundi linahitaji kuona tunapata kile ambacho tunastahili.

 

“Kuna kazi kubwa inahitajika kufanyikakwa wachezaji ili kupata matokeo kwani kwenye hatua hizi kila timu inaigia uwanjani ikiwa inajiamini na malengo ni kupata ushindi,”.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.