Ahmed Ally Awaita Mashabiki wa Simba kwa Mkapa

MENEJA wa Habari na Mawasiliano wa Simba Ahmed Ally amewataka mashabiki wa timu hiyo kujitokeza kwa wingi kwenye Uwanja wa Mkapa Dar kwa ajili ya mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Asec Mimosa Jumamosi ya wiki hii.

Ahmed Ally alisema: “Mchezo huu unahitaji zaidi mashabiki kuja uwanjani, tunataka kuendeleza utamaduni wa kujaza uwanja.

“Tumewachukua mashabiki waje kuwambia mashabiki wenzao kuja uwanjani. Hivi karibuni tumepata tuzo ya mashabiki bora Afrika kama klabu tunataka kuwashukuru kwa kazi kubwa.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.