BARBARA KURUDI SIMBA NI SUALA LA MUDA

BAADA ya Imani Kajula kuweka wazi kuwa hataongeza mkataba wake utakaomalizika hivi karibuni na mkurugenzi wa zamani wa klabu Barbara Gonzalez anatarajiwa kurejea klabuni hapo kama mkurugenzi mkuu.

 

Jina la aliyewahi kuwa CEO wa timu hiyo Barbara Gonzalez linatajwa kuwa kwenye hesabu za wale watakaorejea kwenye kiti hicho wakati ujao.

 

Kajula anaondoka Simba Baada ya kukaa kwa kipindi kisichozidi miaka miwili. Na ameridhia Mwenyewe kuondoka Simba Ili akafanye michongo yake mingine.

Barbara yupo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha taratibu zote za kurejea klabuni hapo.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.