Luciano Spalletti Bado Anawalilia Inter Milan

Aliyekuwa meneja wa Luciano Spalletti bado anawalilia klabu ya Inter Milan, anaamini kwa upande fulani klabu hiyo huenda haikumfikiria vyema kwa kuzingatia mchango wake klabuni hapo.

Spalletti anadai kuwa alipata heshima kubwa sana kuwa meneja wa klabu hiyo, licha ya kutimuliwa kwake na kibarua chake kuchukuliwa na Conte. Alipokuwa meneja amefanikiwa kufuzu Ligi ya Mabingwa kwa miaka 2 mfululizo.

Spalletti anadai kuwa bila shaka, atakumbuka kwa dhati kipindi chote alichokuwepo klabuni hapo. Atakumbuka pia jitihada za pamoja za kujaribu kujenga kikosi cha Inter Milan kwa kuzingatia majukumu ya watu tofauti klabuni hapo.

“Nimepata heshima kupata fursa ya kuifundisha Inter, nitakumbuka kwa dhati nyakati tulizokuwa pamoja. Katika kujaribu kujenga, klabu imehitaji baadhi ya majukumu yachukuliwe na watu fulani. Ni timu nzuri yenye mashabiki safi sana.” -Luciano Spalletti

Spalletti anakiri pia kuwa toka alipotimuliwa bado hajapata ofa kwa ajili ya msimu unaokuja, anatazamia huenda akapata ofa ya kuitumikiaklabu nyingine.

2 Komentara

    Vizuri sana.

    Jibu

    Duh

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.