Watfrod Wapinga Neutral Venues

Watford imeungana na Brighton na Aston Villa hadharani kupinga matumizi ya viwanja vya sawa ‘neutral venues’ katika muswada wa Premier League kurejea uwanjani. Mwenyekiti wa na Mkurugenzi wa Hornets, Scott Duxbury amesema haitakuwa na usawa na ubora kwenye michezo.

Ifahamike kuwa vilabu vya Premier League hawana mpango wakupiga kura kama watatumia viwanja sawa katika kikao cha Jumatatu.

Kura zinaweza kupigwa Mei 14 na vilabu 20 lazima vipige kura kama ni watakubaliana au kukataa wazo hilo, na mpaka sasa vilabu vitatu tayari wamepinga muswada huo na ieleweke kuna vingine wana hisia sawa.

Kabla kupiga kura, viongozi wa Ligi wanasubiri muongozo wa serikali kuhusu usalama wa afya wakati wa tukio na vibali vya uwanja ambavyo vinategemewa kutoka wiki ijayo.

“Mimi nakubali hatuwezi kuwa na mashabiki uwanjani,” Duxbury amesema, akaongeza. “Hiyo inakubalika kwasababu ya hali ya sasa.n.

“Japo, sasa tunaambiwa hatuwezi kucheza mechi zetu tisa zilizosalia nyumbani Vicarage Road na faida ya nyumbani inayotupatia. Hii ni kinyume na hisia za wachezaji wetu, wameona maisha yamebadilika kila sehemu ya Dunia na wanatarajia kucheza kama hamna kilichotokea, pamoja na jamii nyingi Duniani bado wanazuio la kurejea uwanjani.

“Kwahiyo ni sawa? Je hii inaonekana vipi kwenye ubora wa mpira wetu? Sio sawa.”

Premier League ilisimamishwa tangi Machi 13 lakini lengo ni kundelea June wakati tumu nyingi zikiwa na mechi 9 zimesalia. Mkuregenzi Mtendaji wa Chama cha Makocha EPL Richard Bevan msimu wa Premier League season unaweza kufutwa kama hawatakubaliana kucheza kwenye viwanja sawa.

34 Komentara

    Asanteni kwa taarifa muhimu mnazotujuza meridianbet.

    Jibu

    watfrod mpo juu

    Jibu

    Viwanja vitachakaa mapema kwani timu ni nyingi alafu viwanja vichache

    Jibu

    watford wako sawa maana timu ni nyingi sana kucheza kiwanja kimoja ni hatari kwa usalama wa viwanja pia

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Hili swala Ni lazima wakae na wakubaliane, Ni vizuri kupatikane na viwanja vicheche kwa ajiri ya mechi zilizobaki.

    Jibu

    Watford namkubali sn

    Jibu

    Watford naikubali sn

    Jibu

    safi sana

    Jibu

    Wao wameona hakuna changamoto za mashabiki wao

    Jibu

    Watfrod wapo saw

    Jibu

    Watford wako vzuri

    Jibu

    Wako vizur

    Jibu

    Cha msingi wakae meza moja wakubaliane

    Jibu

    Tarifa nzuri Asante meridian

    Jibu

    Wakae meza moja wakubaliane kwa pamoja

    Jibu

    Kwao ni kitu cha msingi maana ukiangalia ni timu ndogo na mapato yao makubwa wanapata kweny home games sasa wakiwa wanacheza kweny viwanja tofauti mpaka ligi iishe itatusha uchumi wao kidogo

    Jibu

    Hapo ni makubaliano tuu hakuna jinsi

    Jibu

    Sioni sababu ya kila timu kutumia uwanja wa Nyumbani? Muhimu kuzingatia masharti ya afya ya wachezaji.

    Jibu

    Ngoja tusubirie hizo kura maana wenzetu wanaheshimu sana maamuzi

    Jibu

    muhimu ni wakubaliane tu

    Jibu

    ni vzr ..kutokana na janga la corona. wakubaliane vitumike viwanja vichache timu waweze kumaliza lig kwa mechi zilizobaki

    Jibu

    Noma sana

    Jibu

    Inabidi wakubaliane tu

    Jibu

    Asanteni kwa taarifa

    Jibu

    watford wasifanye hali kuwa ngumu waangalie wakati tulio nao sasa

    Jibu

    💯💯💯

    Jibu

    ahsate meridian kwa taarifa kwan mnatujali sana wateja wenu

    Jibu

    Inabid wakubaliana iliwafanye maamuz ya busara

    Jibu

    👍👍👍

    Jibu

    Wako vzur

    Jibu

    Tunasubiri maamuzi yenu

    Jibu

    Taharifa nzuri

    Jibu

    Asante #meridianbet kwa taarifa mzuri

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.