Inter - Mario Corso Aaga Dunia.

 

Inter wamethibitisha kuwa mchezaji wao wa zamani Mario Corso ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 78, kwa maelezo yaliyo someka kama ifuatavyo.

“Mario Corso afariki Dunia ,ni mtu aliye kuwepo Inter miaka na miaka aliyekuwa na kipaji cha kipekee.”

“Aliburudusha ulimwengu na mguu wake wa kushoto na ameacha historia kwenye timu.

“Fikra na upendo wetu ni kwenda kuifariji familia yake katika kipindi hiki kigumu.”

Corso alikua ni mmoja ya wachezaji wenye ubora madhubuti chini ya kocha Helenio Herrera na kushinda mataji ya ulaya mafululizo mwaka 1963-64 na 1964-65.

Akiwa na umri wa miaka 16 Corso alianza kucheza soka la kulipwa na akiwa na umri wa miaka 17 na miezi mitatu na siku tano aliweza kufunga goli lake la kwanza Inter walipokutana na Bologna mwaka 1958 mwezi Novemba na kufanya kuwa mchezaji mwenye umri mdogo zaidi kufunga goli katika klabu ya Inter Milan.

Alicheza nafasi ya mashambuliaji wa pembeni kwa kuutumia vyema mguu wake wa kushoto, Corso alishinda mataji manne ya Serie A na kucheza mechi 23 katika timu ya Italia.

46 Komentara

    R.I.P Mario Corso#meridianbettz

    Jibu

    Duuuh! R.I.P

    Jibu

    Mario Corso alikuwa mahili katika soka pumzika kwa amani

    Jibu

    R.i.p mario

    Jibu

    R.I.P corso

    Jibu

    Duu mungu amlaze mahala pema pepon 🙏

    Jibu

    R I P Corso umewafanyia Mambo mazuri inter

    Jibu

    Rip mario

    Jibu

    Rest in peace

    Jibu

    R.I.P corso ukapumzike salama#meridianbettz

    Jibu

    mwenyezi mungu akuweke mahali pema peponi

    Jibu

    Apumzike mahala pema

    Jibu

    Rip fundiiiii wa mpra daima tutakukumbuka😭😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    Jibu

    R,I,P mungu ampumzishe kwa aman daima atakubukwa

    Jibu

    r i p Mario corso tutakukumbuka daima

    Jibu

    Daaah! R.I.P Mario Corso tunamkumbuka sana Kama pia muhasisi wa kuikuza club ya inter kipindi hicho kwan alipokuwa na umri mdogo sana alionyesha uwezo wake wa kumiliki mpira kipindi hicho na kuonyesha mafanikio ya kuchukua ubingwa na umaarufu wake ulifahamika kutokana na utumiaji wa mguu wa kushoto baadae tukaja kuona vijana nao wakijitokeza kuonyesha uwezo wa mpira wakiwa na umri mdogo Kama pere ,maradona nk

    Jibu

    Daaaa siwezi msahau Mario Mwenyezi Mungu ampunzishe mahala pema peponi#Meridianbettz

    Jibu

    R.i.p mwamba

    Jibu

    Upumzike kwa amani mario carso na kwa umri alikuwa nao mario carso hatushangaii sana maana miaka78 ni mingi sanaa kwa wazungu,safii kwa uwezo ulionyesha ukiwa juventus tena kwa umri mdogo

    Jibu

    R.I.P Mario Corso You will never be forgotten!!!!!!!

    Jibu

    Rip mario corso

    Jibu

    R I P morio cordo wote safari moja

    Jibu

    Mbele yake nyuma yetu

    Jibu

    R.I.p mario.nenda.salama.

    Jibu

    Apumzike kwa amani

    Jibu

    MUNGU ailaze mahala pema peponi roho yake

    Jibu

    Apumzike kwa amani

    Jibu

    Duuu alale mahali pema mungu akampumzishe kwa aman

    Jibu

    Duuh pumzika kwa anani

    Jibu

    Pumzika kwa amani

    Jibu

    Pumzika kwa amani Mario ama kwa hakika umeacha historia kwa inter

    Jibu

    Ni simanzi kubwa kwa familia na wadau wa inter,pumzika kwa amani Mario

    Jibu

    Kapumnzike kwa amani

    Jibu

    Rest in peace Corso

    Jibu

    Mungu akupumzishe kwa Aman utaishi mioyon mwetu daima

    Jibu

    😭😭😭😭

    Jibu

    Rip

    Jibu

    R.I.P Mario corso mungu ailaze roho yako mahali pema peponi.

    Jibu

    Pumzika kwa amani hakika uwezi kusahulika#meridianbett

    Jibu

    Mungu akupe pumziko jema Mario Corso🙏

    Jibu

    Atakumbukwa kwa mengi Sana aliyo yafanya clubun hapo R.i.p mario

    Jibu

    Apumzike kwa amani

    Jibu

    Maoni:Apumzike kwa amani

    Jibu

    R.i.p Mario Carso

    Jibu

    R.i.p

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.